PC Gamers Njooni Hapa

PC Gamers Njooni Hapa

Kama utainstall Origin ni kama umejipeleka polisi na gari la kuiba...find another way...Steam sio ishu sababu inakubana kwenye matumizi ya game yako
 
Na ndo maana muanzisha mada kaomba msaada ili kuwafungua watu akili na kusaidiana kwenye maswala ya hardware ili kumeet game specs requirements(mahitaji ya kuweza kucheza hizo game).
 
Labda nianze kwa kusaidia hivi;
Game yoyote ile inahitaji kiwango flani cha hardware ili iweze kucheza vizuri kwenye kompyuta.
Mfano GTA V mahitaji yake ni kama ifuatavyo:
  • OS: Windows 8.1 64 Bit, Windows 8 64 Bit, Windows 7 64 Bit Service Pack 1.
  • Processor: Intel Core i5 3470 @ 3.2GHZ (4 CPUs) / AMD X8 FX-8350 @ 4GHZ (8 CPUs)
  • Memory: 8GB.
  • Video Card: NVIDIA GTX 660 2GB / AMD HD7870 2GB.
  • Sound Card: 100% DirectX 10 compatible.
  • HDD Space: 65GB
Ikikosa hivi viwango inakua ngumu kwako kucheza hyo game vizuri kwenye PC yako.

Need for Speed: Rivals Minimum Requirements
CPU: Intel 2.4 GHz Core 2 Duo, AMD 2.6 GHz Athlon X2
CPU Speed: Info
RAM: 4 GB
OS: Windows XP, Windows Vista (SP2), Windows 7
Video Card: AMD Radeon HD 3870 512Mb or better, NVIDIA GeForce 8800 GT 512 Mb or better, Intel HD 4000 integrated 512Mb or better
Sound Card: Yes
Free Disk Space: 30 GB


Need for Speed: Rivals Recommended Requirements
CPU: Quad Core CPU
CPU Speed: Info
RAM: 8 GB
OS: Windows XP, Windows Vista (SP2), Windows 7 (Recommended is Windows 8 64-bit)
Video Card: AMD Radeon HD 7870 3 GB or better, NVIDIA GeForce GTX 660 3 GB or better
Sound Card: Yes
Free Disk Space: 30 GB
 
Kama utainstall Origin ni kama umejipeleka polisi na gari la kuiba...find another way...Steam sio ishu sababu inakubana kwenye matumizi ya game yako
Mkuu mimi nikiweka origin fifa inastuck ata haifunguki tatizo nini ?
 
Nikitaka pc yenye hizo specification ni shilingi ngapi
Kijana kama unataka mashine ya bajeti (used) lakini powerful kuna intel core i5 , 2400,2500 au i7 2600k, ram ddr3 8GB, HDD 500, GTX 750 Ti 2GB utacheza game karibu zote at high settings bajeti hapo ni sh 1100000.
 
Kijana kama unataka mashine ya bajeti (used) lakini powerful kuna intel core i5 , 2400,2500 au i7 2600k, ram ddr3 8GB, HDD 500, GTX 750 Ti 2GB utacheza game karibu zote at high settings bajeti hapo ni sh 1100000.
Ngoja nijipange,nataka nifunge mkataba wa kukaa nao hata miaka mitano.
 
Kuna ishu kubwa saivi inatuface gamers ambayo ni hadwares
To be honest hapo mimi mwenyewe kilaza. Tena kilaza haswa.

Ila nina PC ya kawaida tu HP i3 na inapiga mizigo kama lembe.
Nina magem kadhaa na yanasonga.
Nina magem kama
-dead pool
-PES
-Truck Mania
-Blur
- Driver san Fransisco
-Euro Truck Simulator
-Devil May cry
-NFSMW

Naomba kama kuna ruksa yenu nifungue whats app grupu letu tue tunaswap games au hata kuuziana ikibidi.
Personal
DMC na Blur nilizinunua baada ya kila nalodownload lilifeli.
Alafu utest fifa 14 uone mzigo hapo
 
nnaipenda pes2013 ndo nnayoicheza sana, naomba kama ntapata msaada niweze update wachezaji
search maneno haya pesedit 2016, kuna update hadi ya msimu huu, update ya jezi, wachezaji, viwanja etc

angalia youtube namna ya ku update
 
ili pc iplay fifa bila kustuck stuck ram iwe ngap na processor??
 
Back
Top Bottom