Ukiwa unafanya biashara jitahidi kuweka maelezo kwa kwa uzuri,mfano duka la nguo linauzwa lipo jirani na moshi bar vingunguti karibu na machinjion,inakuwa rahisi kueleweka
dini na siasa ni vitu viwili vinavyoenda pamoja lazima vishakamane ili viwe sawa,suleiman alikuwa kwenye dini na siasa,daudi pia akikuwa hivo,iran kiongoz wao mkuu wa din yupo pia na siasa,vatcan kiongoz wao ndiye kiongoz wa kanisa,hivi vitu havitenganishwi
nasoma mara nyingi makala zako za kutuelimisha sisi vijana,ninapata vitu vingi shukran sana kwa elmu unayotoa
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ni kweli ni muhimu kuchukua tahadhari ili kuweza kujilinda na kuwalinda wanaotuzunguka,ninachojiuliza kwann huu ugonjwa una promo sana kuna nn nyuma ya hii promo hapo ndo sina majibu zaidi ya kujilinda na kuchukukua hatua
Anza kufanyia kazi hiyo gari iweke iwe uber ila usimpe dereva fanya mwenyewe,jiwekee malengo kila siku laZima ulaze kias flan cha pesa,hautajuta ktk hilo
Zipo njia mbili na ngumu kidogo mie niliona zimefanikisha kwangu,nenda kwake kakae sebulen usindoke hd amekupa chako kaa hapo,kula hapo mda wote mkewe akuone upo ht km ni wiki mbili kaa hapo,pili fanya upelelezi ujue siku yupo nyumban esp jumapili asbh ya saa nne anzia mtaa pili vua nguo watu...
Mzee Kigogo,
Hiyo gari td5 ni nzuri sana km utazingatia service,iko very comfy,inatumia mafuta vzr(diesel engine)ina nguvu ht bei yake si mbaya, ila upate yenye engine P10/15,hzo za petrol achana nazo maana zina engine kubwa(v8)itakutesa kwa kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
hapa maisha yapo juu tofauti na nyumban,nyumba unapata kuanzia 250usd na kuendelea usafiri kwa daladala kituo hadi kituo ni 1dola,kuhusu madem bei imechangamka kidogo,bei ya bia iko chini kuliko maji ya kunywa,changamoto nyingine ni shida ya maji hasa kwa hapa luanda,ila huko quando...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.