Mwenyezi Mungu ni mwema atafanya jambo katika maisha yako.........Ila mpaka hapo we ni mshindi umepita madarasa na vidato vingapi nyuma kwa hali hiyo, ni njia naamini hiyo kwako na atafanya wepesi kwa rehema zake.....Pole sana na usife moyo.
Condition za mtu kuwa VAT registered moja wapo ni kuwa na taxable supplies over 100m kwa miezi 12 mfululizo au over 50m kwa miez 6 mfululizo....vinginevyo labda ingekua exempted Supplies
Kuongezeka kwa makampuni hayo...... ni mara nyingi kwa jambo lolote lile kuwa na Faida na hasara. Ni umuhimu tu kwetu sisi ku measure and minimise the risky lakini kwa hao jamaa kuna vitu vingi wamepunguza hasa kwa kusaidia hata maelfu ya vijana kujipatia ajira. Hebu imagine hao watu wakikàa...
Unachokiongea hapo uko sahihi mkuu jinsi ya ku deal na walipa kodi inatakiwa akili ya ziada kwa sababu mifumo ya hizo biashara ipo tofauti na pia kwa TRA moja ya department yao kuu ni TAX investigation ambayo ndio inakuwa na kazi hiyo hasa me nachokiona ni jinsi gani hao officers wake na polite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.