Recent content by Jeff Mangi

  1. J

    Diamond jiongezee ulinzi, una maadui wengi

    Usiseme aongeze ulinzi sema aongeze watu wa kutembea nae. Watu wenye ulinzi Ni watu watatu. Rais, Makaku wa Rais, Waziri Mkuu
  2. J

    Makonda ukiwa mwongo jitahidi uwe na kumbukumbu

    Tabia za Kike Hizi... Punguza Wivu Kwa Mwanaume Mwenzako
  3. J

    Makonda ataka majimbo matatu ya Kawe,Ubungo na Kibamba kwa mpigo

    Unadhani Anapewa Yeye au Anapelekewa DED wa Manispaa Ya Ubungo.
  4. J

    Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

    Nilikuwa Siko Huru Ndani Ya Wasafi.... Hili ni Tusi?
  5. J

    Rufaa ya Serikali kutaka watoto waendelee kuolewa wakiwa na miaka 14 yatupiliwa mbali

    Halafu Tusijaribu Kudanganyana Hapa, Sheria haijasema Ni Lazima Aolewe Akiwa na Miaka 13, Bali sheria ya Ndoa inasema anaweza Kuolewa Akiwa na Miaka 13 ila kwa Ridhaa Ya Wazazi, kwa Hyo Wewe Mzazi Mwanao akitaka Kuolewa Akiwa na Miaka 13 na Ukaridhia Hilo Ni Tatizo Lako Na Sio Tatizo Ka Sheria...
  6. J

    Sheria inaruhusu kudai zawadi ulizotoa kwa Mchumba wako pale Uchumba unapovunjika

    What's about wale wanaoingia kwenye promise of marriage kabla ya ku attain age of majority? Bearing in mind that in accordance to our laws a person under the age of 18 years can contract a marriage vipi kuhusu hao?
  7. J

    The 2019 NBA Playoffs

    Heee! Clippers kashinda? Lakers tatizo ni nini? AD na Lebron hawakucheza?
  8. J

    The 2019 NBA Playoffs

    Wakuu Naona Mko Kimya Sana, Mzigo Wa NBA Umeanza Leo, Lakers Kapigwa
  9. J

    Meet "Pierre Delecto": Mitt Romney has a secret Twitter account for lurking

    What's Up NN... Long Times No See Dude... How Was Day Amigo
  10. J

    Ikulu: Rais Magufuli awaapisha viongozi walioteuliwa. Mathias Kabunduguru, Godfrey Mweli na Ali Sakila

    Ww Umejuaje Kama Anaumwa? Unakaa Nae au ww Ni Mkewake?
  11. J

    Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

    Kaka Kitu cha kwanza wajiulize kwanini wanaruhusu akili yao kuamini kwenye uzushi wa mitandaoni? Pili hatuna utaratibu wa kupewa taarifa za hali za afya binafsi za viongozi na hutuwezi kuufanya kuwa utaratibu wetu leo hii sababu ya uzushi wa mitandaoni tutaonekana wapumbavu kwa wananchi na hata...
Back
Top Bottom