Hapana bwana katibu mkuu hana mandate takuingia katika baraza la mawaziri. even manaibu mawaziri hawaingii katika baraza la mawaziri. ndivyo nnavyojua hvyo.
Maisha n vipaumbele tuu. ukiona mtu anaemtanguluza mwanamke kwanza zaidi ta mama ake mzaz jua hcho ndo kitu amekipa kipaumbele na wala hutakiwi kumshangaa bali nikutumia majukwaa kama haya kuelimishana na kuuona upande wa pili wa maisha.
achilia mbali mama mm naona nyumbani kwa baba na mama ndo...
mumuogope Mungu. huwezi hata siku moja kuichambua biblia hasa kuhusu uumbaji kwa kwa kutumia fikra za kawaida za mwanadamu. kumbuka we are talking about GOD guyz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.