Najuta kufanya usafi jana

Najuta kufanya usafi jana

..Hizi halmashauri za miji, halmashauri za manispaa, na halmashauri za jiji kazi yake itakuwa nini kama jukumu lote la usafi wananchi watakomaa nalo, na zile kodi tunazolipa zitakuwa za nini..
 
Ulikusanya halafu bibi yako aje azoe??

Uzuri wa JF kuna majukwaa mengi ili kila mtu achangie kwenye jukwaa sahihi na analolipenda. Hoja yako hii ingependeza sana kama ungeitupia jukwaa la Utani. Hasara ya kutupa jiwe usiku (Gizani) inaweza kuwa jiwe hilo likamwangukia Mkwe/mzazi wako,utajisikiaje?
 
we unafikiri dar ni kama huko kijijini kwenu mnatupa taka mashambani?kutoka magomeni taka zinapelekwa pugu km kama 30.sasa ulitaka niende km 30 kwa miguu?

nipo huku kijijini kwenu ulipo zaliwa na wewe upo huko mjini nilipozaliwa
 
Wakurugenzi wa Halimashauri kote tukipowasaidia kufanya usafi wakashindwa kuuzoa on time waajibishwe na Raisi
 
Uzuri wa JF kuna majukwaa mengi ili kila mtu achangie kwenye jukwaa sahihi na analolipenda. Hoja yako hii ingependeza sana kama ungeitupia jukwaa la Utani. Hasara ya kutupa jiwe usiku (Gizani) inaweza kuwa jiwe hilo likamwangukia Mkwe/mzazi wako,utajisikiaje?

Huyu mleta mada hayuko serious kabisa ikabidi nimjibu kadiri ya uzito wa mada yake.....atakayepiga kelele bas huyo huyo sijali ni nani ingawaje najua haliwezi kunirudia
 
Njoo hapa Azurra apartments. kuna apartments zinapangishwa
 
Tumefanya usafi wa mazingira yetu yote jana ghafla JPM anatubwagia uchafu sebuleni.
 
Ndo maana hata waziri wa Elimu hajapatikana. Maana wajinga ni wengi mno tz
 
Katika mchakato tulioufanya kwa umakini imeonekana kuna tishio la ugaidi na maandamano ya UKAWA.Hivyo basi bado tunaenderea kuwasiliana na mainfoma wetu ili basi tuone ni muda gani mzuri wa kushtukiza kusomba taka.Ene wei...usisite kutoa taarifa yoyote itakayosaidia ujaji mwema wa magari ya taka.Senki yuu sana😀😀:thumbdown::thumbdown:
 
sio ujinga mkuu miundombinu ni michache lakn worry out mwakan mambo yatakuwa sawa. under Mh. Mgufuli.
 
ITV wameonyesha malundo ya takataka hayajazolewa labda watafanya bidii kuyaondoa.
 
zile taka tulizokusanya bado zipo tele hazijazolewa.naapa sitashiriki hili zoezi tena ni ujinga
mm naona ni ujinga wako unayesubiri karandinga la taka likupitie
maana sisi tunataka hili zoezi liwe endelevu kwani katika ma-dustbin huwa yanajaa manoti


attachment.php
naomba Magufuli atoe mwezi mmoja kila mwenye pesa nyumbani apeleke Benki! na mwenye zaidi ya milioni 100 akatwe kodi basi ma Escrow mtatujazia madumu
 

Attachments

  • siku ya usafi 9 Dec 2015.jpg
    siku ya usafi 9 Dec 2015.jpg
    28.6 KB · Views: 507
Wapeni vijana ajira,walipeni wafanye kazi,kwa wiki Mara mbili wanachukua takataka.
 
Zoezi la jana ni siasa tupu hususani kwa jiji la dsm!! Tatizo kubwa ni hizo tenda za uzoaji taka walivyopeana, we una kuta mtu ana gari mbili, anapewa tenda kubwa ya uzoaji taka, magari yenyewe ni taka taka!! Likitoka tmk hadi pugu kumwaga taka taka trip moja siku imeisha, unategemea nini?? Nenda pale buguruni sokoni aibu, kidogo upande wa masaki, kuna kampuni ya kishua na magari special kwa uzoaji taka, kazi inafanyika, cha kufanya lazima magari ya uzoaji taka yatafutwe mengi ya kutosha, tena hii kazi wangeachiwa halmashauri husika, wakanunua magari na kuifanya wao, lakini hii ya watu binafsi, hela akadai mwenyewe kwa wananchi, tena wa dsm, mijitu ambayo kutoa 2000,kwa mwezi kama gharama ya uzoaji taka wanaona nyingi!!! Tutasubiri sana dsm kuna vichwa ngumu sana.

Kuna kubana matumizi
 
Back
Top Bottom