Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Ni raha na karaha kwa wakati mmoja...
Yeah you are right, I understand.......... kila kitu kina raha yake na karaha yake. Advantages and Disadvantages if a thing.
Ni raha na karaha kwa wakati mmoja...
Yeah you are right, I understand.......... kila kitu kina raha yake na karaha yake. Advantages and Disadvantages if a thing.
Mama nae si ana mpenzi wake, wanunuliane kwa level yao.
Kweli... kwani nyie mmezaliwa wangapi mpaka utamani maisha ya mwingine? Ni wewe ni number gani?
tumezaliwa wengi ila hatujafika 10, hata sikumbuki mie ni wa 5 au wa sita..... nafikiri wa 5 kuzaliwa hadi nianze kuhesabu si unajua uzee nao memory inapotea heheheheee.
Sitamani ila nimekuonea raha hadi wivu.
Naona mnaongelea mama tu, na baba vepee?
Kumi daah mpaka raha mkikutana. Uzee unanzia miaka 55... kwani ushafika huko?
jukumu la baba huishia kwenye kutia tu
kutia nn?
Hhahahahahaa bado miaka 10 ndo nifike huko ila dalili za uzee zimeshanianza.
Ofcourse kuna raha na karaha yake kuzaliwa wengi, ila sio kumi nimekwambia tumezaliwa chini ya kumi.
ukikua utajua tu
hivi mm ni mtoto?
sawa kabisaUsisahau kwamba mademu wanachezea kichapo cha hatari !!ie mbuzi kagoma kwenda and the like
Una... bado mdogo kumbe... upo kwenye udada... na wewe zaa kumi..
Hhaahahhaaa utapigwa mitama na watu humu ukiniita mie mdada, mie sio mdogo ni mzee bana tena ni kibibi makunyanzi yameshaanza nijia usoni si unajua athari ya kupaka mikoroko tangu enzi za JRIBU hadi kwenye karolaiti nimoo saa hizi naona mkorogo umeanza kunidundia.
Kwa umri huu line ya kuzaa imeshapita saa hizi nikisema nijaribu kutundika kiumbe humu tumboni mwangu na mikorogo niliyopaka najitfutia kifo tuu. Nashukuru Mungu hakunijaalia mtoto na naona imeandiokwa niondoke humu duniani bila mtoto.
Sifikirii wala sitamani kuzaa saa hizi nakula maisha tuu napo kuna raha yake japo wenye nao wanasema pia wana raha yao hehehehee. Raha na karaha zipo kila mahali.
Lol!! Nani wa kunipiga mitama humu ndani. Uzee ni 55 na uwe na sifa ya kustafishwa kinguvu, huo ndiyo uzee. Kuna wanawake nafanya nao kazi wana 60 lakini, duu kama wana 30 vile. Kwa nini hujazaa mpaka sasa? Umetoa mimba ngapi? Kama ni nanilii yani nanilii namanisha nanilii basi huwezi zeeka mapema..
wamelelewa na Mzazi mmoja hao.