Nauliza swali hili kwasababu nyama ya KASA imekuwa inasababishia watu vifo karibu kila siku lakini watu waendelea kuwafanya kitoweo.
Je nyama yake ni tamu kuliko ya samaki, pork, mbuzi au ng’ombe?
Naombeni mnishauri jinsi ya kuacha betting... naliwa nasema sichezi tena nakaa siku moja tu narudi, naliwa tena. Yani nikimla 10k au 20k naona kama nimekula 1000k.. Nimejaribu kuacha hii kitu nimeshindwa kabisa
Arsenal msimu huu 2021/2022 wakizingua kutokuingia top 10 nitajiunga na Newcastle utd.
Maana kwa msimu 2022/2023 United itakuwa moja tu. Nayo ni Newcastle
Ile ya Dodoma last week ilikuwaje?
Maana nasikia kijana wa car wash aliipiga mzinga Ford double cabin ikasambaratika, dogo wa car wash akaanza kuigiza u chizi.
Aisee kuacha funguo ni kitu cha kufikiria mara 2. Mimi huwa naacha lkn ni mazoea tu.
Nashukuru nimepata kiremote/king'amuzi kingine japo imechukua muda mrefu. Maana nilikipeleka 25 February, 2021, ndio nimepewa kingine wiki hii 13 July.
Hizo tabia ninazo zaidi ya nusu yake.. kwenye kuongea mbele za watu hasa kijiweni. Maana ilikuwa kila nikitaka kuongea wengine wanaongea.
Ila kupambana nayo ni kujichanganya na uwe na mada ambazo ukiongea inabidi uanze na stori fupi fupi(story telling) tumia style hii. Tafuta vistori vya kijanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.