Mwaka jana ilikuwa bei gani?Ni tsh.100,000 fursa ndio hiyo zalisheni alizeti na mbegu zingine za mafuta.
Demand kubwa kuliko supply,wewe nae ni kenge tuu bei ya mafuta ya kula na sukari zilianza kuharibika toka 2019 na ndio maana serikali ikaanza kuhamasisha kilimo cha mawese .
Nunua mafuta mengine yasiyo ya alizeti mbona bei ni kawaida ?
90,000 bei ya Rukwa huku ikafika hadi 120,000 mwezi wa piliMwaka jana ilikuwa bei gani?
Kwa style tunayoenda nayo Magufuli lazma akumbukwe bila kupenda.
1. Tozo
2. Bei ya vitu kupaa
3. Serikali haina kauli 1 tena.
4. Wakazi wa Dodoma
5. Wenyeji wa Chato
Yaani mwanaume mwanaume tu. Wengi tulimchukia sana Magufuli lakini hata kama hatokumbukwa lakini kimoyo moyo lazma umkumbuke.
Ile hali ya JK imesharudi rasmi ndani ya utawala.
- Toka serikali iliposema inafatilia mambo ya tozo hakuna mrejesho mpaka leo.
- Toka tume ya kuchunguza kuungua kwa soko la Kariakoo hatujapata mrejesho wa tume hiyo na siku za nyongeza 7 walizopewa sasa tupo zaidi ya 21 hakuna wa kuuliza watu wako bize kusafiri tu.
Kweli sikumpenda JPM ila namkumbuka tu sio kama napenda ila nalazimika kumkumbuka.
Hii ni fursa kwa wakulima wa alizeti na michikichi kunufaika, wawe matajiri kama mashehe wa Dubai.Ukiwa na kadi ya CCM dumu 55000/=
Nadhan CCM hawaumii n hii Bei bila Shaka
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Aisee mlipenda nyie wa kanda ya kwao sisi tulimuona adui mkubwa sana sana !!! Kujaa mikutanoni ni kukosa kazi tuu na kampeni ya chama chake ila hakufaa kabisa kuwa ruler asante Munguhivi unauhakika wengi walimchukia JPM? wakati akifanya ziara mikoani ilikuwa ukiangalia, au mikutano yake. msiba wake uliona watu pamoja na viongozi waliomzika. TZ hakuna rais aliependwa kama JPM
Kodi zinakwenda nufaisha anasa za wanasiasa.Lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako,pesa inayopatikana kupitia shughuli hizo za bishara baadae utaona maji, umeme,nk
Tuwe wazalendo ndugu zangu.
Potelea mbali watu wajinga wengi ni choka mbaya wacha wanyooshwe hadi kende zizame ndani.Mkuu tutaumia wote lakini