Huyo Dr Kebwe nae alikuja kulialia pale Hospitali ya Kairuki wakampa darasa la kufundisha Health environment tukawa tunashangaa kutoka unaibu Waziri kuja kulipwa milioni Mbili na nusu! akawa anakuja na bajaj
Nadhani kasome kwanza maana ya makao makuu ya nchi! kiutaratibu wizara zote zinakuwepo pale ambapo ofisi ya Rais ipo ili iwe rahisi kwake kuwa na vikao na watendaji wake mara kwa mara hivyo hivyo kwa mashirika makubwa ya Umma. Suluhisho la foleni ni miundombinu tu
Le mutuz uchambuzi wako mzuri ila ulipokosea ni kusema Magufuli alikuwa ni chaguo la JK this is wrong JK's family ilikuwa ni Team Membe from mama To Ridhiwani up to Rashid usijidai hujui hili le big show na waliomchagua Magufuli ni wale wa Lowassa baada ya kuapa kwamba Membe hatakaa achukue nchi...
Azam wanastahili Pongezi huwa nilikuwa naona aibu sana nikiangalia TV za Kenya hasa Citizen wanavyosoma habari nikawa natamani ije itokee Tanzania Azam wameweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.