Azam Media mnastahili pongezi

Azam Media mnastahili pongezi

Kzi nzuri sana azam wanafanya,kwa hili hii superbrand itabakia jina,Tido kazi nzuri sana,watanzania tumeikubali sana.
 
wapo online bt inasumbua kidogo kimtindo wezama tu utawakuta....jamaa wako vizur na azam two nawapata
 
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa (azam media) kwa kuwa hewani siku nzima ya leo katika kutujuza yanayoendelea dodoma,tofauti na vyombo vingine vya habari, na ihi inatoa picha kwamba kipindi cha kampeni azam media itawashinda vyombo vingine kwa utoaji bora wa habari kwa kina,

Azam inaonekana na tv ya ughaibuni maana hatuipati kwenye local chanels. TCRA sijui wamepewa nini.
 
Azam wanastahili Pongezi huwa nilikuwa naona aibu sana nikiangalia TV za Kenya hasa Citizen wanavyosoma habari nikawa natamani ije itokee Tanzania Azam wameweza
 
Leo nimeshinda na Azam kama na mimi nipo Dodoma kukatana.!
 
acheni ushsmba mabwege ndio tv uone live event bado mmelala ndio mnaibiwa na hao viongozi wevi wa mali za nchi na bado mnamwambia tunakupenda mzee iba more
 
Isiishie kwa ccm tu! Nawasubiri wakati wa mchakato wa vyama vingine
 
Back
Top Bottom