Jamaa anatia huruma.Sijui kama ni mawazo yangu ila kama vile reaction yake against kuitwa shoga haijakaa sawa.Nafkiri anaogopa alivyoambiwa wanamstiri.Me ukiniita shoga hutasikia nakuongelea vizuri maishani
Awasiliane na Magu walifanyie kazi mana serikalo hii imekua kiwanda cha kutengeneza watu wasio na ajira.Hamjatosheka kwa mlioacha kuajiri mnataka mpunguze na walioajiriwa.Hatujui nia ya serikali hii ila inaonekana si nzuri
Yah mkejeli lakini unamtegemea. Kuchagua udr sio kitu cha mchezo ni kujitoa kafara. Kupoteza usingizi kwa ajili ya wengine,kujiexpose na magonjwa mbalimbali kugombana na wenye uelewa mdogo kama wewe mahospitalini nk
watu wanaenda ni daktari tu hajaamua. Ila usishabikie hilo mana kumsomesha daktari tena kama private serikali hutumia zaidi ya mill 40. ukimwacha akachukuliwa na nchi nyingine au akakaa mtaani ni hasara mana umeinvest mtaji mkubwa usiokulipa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.