ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,667
- 57,077
Think like a mannyinyi si ndo mlikua mnajidai eti mnasoma Science.
Think like a mannyinyi si ndo mlikua mnajidai eti mnasoma Science.
Kwa yeyote anayehitaji daktari Morogoro mjini au sehemu yeyote,nipo natafuta kazi,nina uzoefu wa mwaka 1 baada ya kumaliza mafunzo ya vitendo,ni mchapa kazi na naweza fanya kazi bila kusimamiwa,kwa mawasiliano zaidi njoo pm
Already humiliated a woman who used to sleep naked with your Father I mean your MotherThink like a man
Tulikua hatujidai tumesoma,ndo maana hata wewe su ndugu zako wanaenda hosp kutibiwa na hao unaosema walijidai kusoma science,nyinyi si ndo mlikua mnajidai eti mnasoma Science.
NotedTunaendelea na zoezi la uhakiki. Tukimaliza tutaajiri wachache na wengine wasubirie bajeti ijayo tuajiri tena wachache hivyo hivyo hadi muishe. Umenielewa bibie!?
Hii kitu imewatajirisha wengi sanahaha unaweza kujiajiri wenio wengi ni makanjanja wanaishia kupata pesa kwa kuchoropoa mimba hahaha
watu wanaenda ni daktari tu hajaamua. Ila usishabikie hilo mana kumsomesha daktari tena kama private serikali hutumia zaidi ya mill 40. ukimwacha akachukuliwa na nchi nyingine au akakaa mtaani ni hasara mana umeinvest mtaji mkubwa usiokulipaSi nilisikiaga nyie mnakimbiliaga Botswana sasa wewe unangoja nini kukimbia?
uelewa wako ni mdogo sana. umeambiwa miaka miwili hawajaajiri.Watu wako mtaani na hali si nzuri unaropoka. Tumia akili ya kuzaliwaWe ni daktari feki au vp? Maana watu hata wenye basic certificate ya clinical medicine sijawahi sikia wana tapatapa Kama ww na MD yako sijui ya nchi gani hio, utakuwa hauko sawa wewe..!!!
Nina wasiwasi Na vyeti vyako mkuu
ile hospitali aliyotaja ni moja na wenye sifa kama ya huyu Dr wanahitajika watatu tukwani mkulu si alisema ameanza kuajiri madaktari ww vipi tena?
Yah mkejeli lakini unamtegemea. Kuchagua udr sio kitu cha mchezo ni kujitoa kafara. Kupoteza usingizi kwa ajili ya wengine,kujiexpose na magonjwa mbalimbali kugombana na wenye uelewa mdogo kama wewe mahospitalini nknyinyi si ndo mlikua mnajidai eti mnasoma Science.
Sasa unaongea nn Mkuu? Kama hiyo serikali haitaki kuwaajiri wakae tu wasubiri kudra za M/Mungu mpaka lini...!! 40Mil. iliyotumika si sawa na kusimamisha maisha ya mtu ukamfanya awe tegemezi kwa nduguze mwaka mzimaawatu wanaenda ni daktari tu hajaamua. Ila usishabikie hilo mana kumsomesha daktari tena kama private serikali hutumia zaidi ya mill 40. ukimwacha akachukuliwa na nchi nyingine au akakaa mtaani ni hasara mana umeinvest mtaji mkubwa usiokulipa
Kwa bahati mbaya hujui unaongea Na nani..uelewa wako ni mdogo sana. umeambiwa miaka miwili hawajaajiri.Watu wako mtaani na hali si nzuri unaropoka. Tumia akili ya kuzaliwa
Mkuu na ndo hawa hawa hua wanakuja wanalia lia hospYah mkejeli lakini unamtegemea. Kuchagua udr sio kitu cha mchezo ni kujitoa kafara. Kupoteza usingizi kwa ajili ya wengine,kujiexpose na magonjwa mbalimbali kugombana na wenye uelewa mdogo kama wewe mahospitalini nk
Ahsante Eucapia nakushauri kuwa jaribu kupitia kwenye hospitali ambazo zipo mkoani mwako na kuulizia nafasi nauhakika utapata maana hyo fani yako inauhitajI sanak atika jamiii
assume uko vitani, weka mtoto mgongoni, funga vyeti tumboni vuka boda. ukikaa hapa unyafuzi utawahusu wewe na mwanao.Siwezi kukimbia...nina nyonyesha mkuu
Nitaftie namm ni clinical assistantMm ni medical officer pia
Niko hapa morogoro
Nilitaka niku unganishe sehemu flani hivi private
stupidity comment i ever read!!!nyinyi si ndo mlikua mnajidai eti mnasoma Science.
