Si ajabu ulikutana na Uzi wa mzizi mkavu... Ulikuwa ugonjwa gani huo? Sa muda mwingine acha kugoogle dalili ,nenda hospitali kabisa... Karibu sana lakini
Acheni maneno wakuu naona mmepakazia mpaka wanafunzi wamekaa kimya....hili ndilo jukwaa lenye watu wa kuwasaidia na sio kuwatenga kama mnavyosema. Na huu ni muda wa likizo wakuu
Wale wanafunzi wa O level na A level nchini Tanzania tukutane hapa tujuane. Muombe ushauri kwa yanayokwaza huko shuleni and let us share our experience mkiwa huko shuleni.
Haya uwanja ni wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.