Mbona matokeo ya CPA yamechelewa hivi?

Mbona matokeo ya CPA yamechelewa hivi?

Uhasibu mainly based on doing not leading....CPA holder wengi hatujui kuongozi tunajua kufuata bosi anasemaje,IFRS inasemaje,sheria zinasemaje labda zaidi tunajua kupika Financial reports tuu ili kupendezesha kampuni in the stock exchange market ila kupata share holders wengi zaidi...lakini tukipewa jukumu la uongozi wengi wanafeli hatujuagi kupanga mikakati wengine wafuate tunajua kufuata mikakati ya wengine.
Agreed mkuu
 
Back
Top Bottom