sio kwa kutaka tu...kuna na kushawishika pia.
ukute kakufanyia mengi na kukusaidia makuu..kiulain tu unaliwa kwa kisingizio eti .."amekua mwema sn kwang cwez kumkatalia chochote"
tatizo kubwa watanzania wengi na viongozi wa serikali wanaishi na kuongoza nchi kwa hisia..kwaivo jambo likitokea linafunika mambo muhim ya nyuma.
na hii ni hatari sana coz nchi itaongozwa kwa hisia na sio mipango madhubuti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.