Kweli sasa hivi wanaiba mchana kweupe, kuna kipindi nilikuwa nanunua 3GB kwa wiki natumia hadi wiki inaisha, sasa hivi hizo 3GB, ni siku mbili tu, naambiwa kifurushi kimeisha, nilipo wapigia simu wakanijibu Sababu ni natumia 4G, ndo maana data zinaisha haraka