Recent content by jason

  1. jason

    Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

    Kuna wanawake wengine unamwachia pesa ananunua vitu substandard, anapeleka pesa, vikoba, na kuservu pesa ya bia Sent using Jamii Forums mobile app
  2. jason

    Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

    Mfundishe ku drive Sent using Jamii Forums mobile app
  3. jason

    Nashindwa kuwaelewa Vodacom

    Kweli sasa hivi wanaiba mchana kweupe, kuna kipindi nilikuwa nanunua 3GB kwa wiki natumia hadi wiki inaisha, sasa hivi hizo 3GB, ni siku mbili tu, naambiwa kifurushi kimeisha, nilipo wapigia simu wakanijibu Sababu ni natumia 4G, ndo maana data zinaisha haraka
  4. jason

    Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

    ....... ... p.. M L ........ . p.... po.. .. P.. p.....
  5. jason

    Best of Kipanya

    Na anaonekana ni Mbowe
  6. jason

    Flat screen inatakiwa

    mi nilijua flat screen KE, kumbe tv
  7. jason

    Wenzangu mnatoa wapi mada za kuanzisha?

    hata na hii nì mada tayali, hongera
  8. jason

    Uongo unanitesa, je nifanyeje niepuke aibu hii?

    isije ikawa hii post ni uongo pia
  9. jason

    Mtu aliyeajiriwa anatakiwa kuwa na shilingi ngapi kwenye account yake kama akiba?

    nini kutoboa mwisho wa mwezi, ukiingia tu baada ya siku 3 account zero
  10. jason

    AJALI: Basi la Kampuni ya New Force lapata ajali ya kugongana na gari ndogo maeneo ya Iyovi

    ukisoma hizi comments, unaelewa kuwa watanzania bado Sanaa, reasoning capacity, ipo chini sana
Back
Top Bottom