Kweli sasa hivi wanaiba mchana kweupe, kuna kipindi nilikuwa nanunua 3GB kwa wiki natumia hadi wiki inaisha, sasa hivi hizo 3GB, ni siku mbili tu, naambiwa kifurushi kimeisha, nilipo wapigia simu wakanijibu Sababu ni natumia 4G, ndo maana data zinaisha haraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.