habari wana jamvi hili,mimi ni mama wa miaka kadhaa,ninatatizo la allegy ya pua,koo,macho na masikio kwa muda mrefu,yaani harufu kidogo pamoja na vumbi tu ikinipitia naanza kupiga chafya na kupata mafua ,masikio nayo yanawasha balaa,najitahidi nisiingize kitu masikioni ila nashindwa maana...