Ajira za walimu mwaka huu

Ajira za walimu mwaka huu

Wahitimu mtalalamika hadi lini?
Tumieni elimu yenu kujiajiri!
Pia mashamba yapo mengi sana itakua vizuri zaidi mkaingia katika kutuzalishia mazao ya chakula na biashara
Nmekosa cha kukujibu coz nahic ntafungwa
 
Wahitimu mtalalamika hadi lini?
Tumieni elimu yenu kujiajiri!
Pia mashamba yapo mengi sana itakua vizuri zaidi mkaingia katika kutuzalishia mazao ya chakula na biashara
Mlikimbilia kulima nyanya hatimae yameoza.unataka walime nn na wapi na mashamba nani katoa huo mtaji umewapa au wanaenda kulima zao la chakula?
 
Wahitimu mtalalamika hadi lini?
Tumieni elimu yenu kujiajiri!
Pia mashamba yapo mengi sana itakua vizuri zaidi mkaingia katika kutuzalishia mazao ya chakula na biashara
Wewe umetengeza ajira ngapi?au nawewe ni kama wale maprofesa wamekalia vijana jiajirini wakat hata kibanda cha mpesa hana
 
Duh nawaonea huruma ndugu zangu kwa kuwekwa mtaani bila majibu ya kueleweka!
 
Wahitimu mtalalamika hadi lini?
Tumieni elimu yenu kujiajiri!
Pia mashamba yapo mengi sana itakua vizuri zaidi mkaingia katika kutuzalishia mazao ya chakula na biashara
Wewe umejiajiri,acha umburula na ufisiemu,semeni tu kwamba mmefilisika.
 
Wahariri wanauliza mambo ya siasa na viwanda tu! AJIRA MPYA NA KUPANDISHWA MADARAJA!
 
Unapowaambia vijana wajiajili ww jiulize kwanza umewawezesha wangapi ktk hiyo kazi unayosema wakajiajil au ndy upo ofsn na kiti cha kuzunguka huku unasema vijana wajiajili,
Ndio maneno yao, huku watoto wao wakipewa mitaji ya kwenda kufanya biashara dubai
 
Wahitimu mtalalamika hadi lini?
Tumieni elimu yenu kujiajiri!
Pia mashamba yapo mengi sana itakua vizuri zaidi mkaingia katika kutuzalishia mazao ya chakula na biashara
Kila mtu akiwa mkulima nani atanunua kwa mwenzie!? Alafu nawashangaa sana mnaosema ooh wahitimu mjiajiri kwani mnadhani hao wahitimu wanapenda hali wanazopitia sasa? Alafu kujiajiri sio jambo la kuamka asubuhi na kunyanyua vyuma ni jambo linalohitaji mtu kujipanga akusanye mtaji, wengi wakishamaliza vyuo wazazi huamishia tumaini la misaada toka kwa Huyo huyo muhitimu asiye na Mbele wala nyuma
 
Anae hitaji quality consultancy ktk viwanda vya maji,juice na beverages zingine atupie namba hapa .
pia anae hitaji service za R.O tunatoa.
pia anaetaka gharama za kufungua kiwanda cha maji yani gharama ya mutambo tuwasiliane.
tupia namba ntauchukua then tutawasiliana
 
Uhakiki rasmi unaisha lini?
Au shida siyo uhakiki?
Lini tunawekwa wazi?
Kuachwa hewani bila taarifa rasmi ni hatari kwa afya ya wahitimu!
Tutakanushiwa hadi lini jamani!!
Ualimu umekuwa changamoto sasa, tunaiomba serikari ,ianzishe utaratibu Mpya was kutoa elimu ya vitendo mfano uashi,uvuvi, kilimo ,veta, na taaluma zingine ,hivyo kupunguza idadi kubwa ya vijana ,kukimbilia ualimu,
 
Ajira ya ualimu sasa ni changamoto,tunaiomba serikali, kwa mkazo ianze kutoa elimu ya mafunzo na kujitegemea, mfano uvuvi, kilimo, na taaluma zingine ikiwemo veta, hivyo kuondoa halikubwa ya utegemezi,
 
Msipende kutoa ushauri ambao unawaumiza wenzenu wasio na ajira ww kama upo oficn alafu unatoa ushauri unao muumiza mwenzio anayesubiria ajira unakuwa unakosea wote tupo mguu pnd hata wenye ajira wenyew hawana aman muda wowote unaweza ckia wametumbuliwa so usimdhihaki mwenzio ujui mbele yko
 
Back
Top Bottom