emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 682
- 918
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara Zinazojitegemea, Taasisi za Umma MbalimbalI Serikalini, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 2-7 DESEMBA, 2017 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
Kujua majina ya walioitwa kwenye Usaili, bofya HAPA
Kujua majina ya walioitwa kwenye Usaili, bofya HAPA