Nakumbuka kipindi vya Pwagu na pwaguzi cha Batholomeo Milulu na Rajab Hatia, Kipindi vya maigizo vya mzee Jongo, mama Haambiliki, Zena Dilip, Mazungumzo baada ya habari, mziki wa kuanza kipindi cha matangazo ya vifo, kipinidi cha zilipendwa chini ya Mohamed Besta ... ya kale ni dhahabu