Jana baada ya Mafake hopers kuona Caicedo kupewa Red Card walisema wote ukumbini na kusema Baaàaaaassss. Chelsea inakufa 5 leo. Hawakujua kama mwenye team yake yupo beki kisiki James Reece. Kijana wangu aliwapoteza kina Mchele hawakuamini mziki wake🤣🤣🤣🤣
Ivi kuna siku mnakosa sababu.....Gabriel angekwepo angefunga?
KWani chelsea hajacheza consecutive tough match?
Mnabahati ile red imewasaidia leo mgelala na 4 kama siyo 5🤣🤣🤣🤣
Bro kumbe unaiwazia chelsea? Baada ya kumfunga kilema west ham unaona umeyapatia maisha siyo. Jana tu umepigwa 6 na PSV. Binadamu wanasahau haraka sana
Kocha apewe muda wa miaka 5 mingine ni mzuri sana. Yupo smart. Ametupa ubigwa. Na this time anatupa kwa mara ya pili tena.
Sasa mmekuwa wagawa uroda tu kila timu mnampa yote adi raha
Huo msatari wa Mwisho ndiyo ya muhimu chief......mimi napenda Boli na mara nyingi penda pale penye Mvuto mfano leo akili zangu zote nitaelekeza kwenye mechi ya arsenal na Bayern.
Jana nilienjoy Bali kati ya vijqna wangu Chelsea na Baka. Na kilichonifurahisha zaidi kwenye mechi ile jinsi CUcu...
Mkuu mi naamini gemu ya leo itakuwa na mvuto na itakuwa gemu murua kabisa. Leo wote wote wapo attention na mechi ya Arsenal na Bayern kama ilivyokuwa jana kwa Barcelona na Chelsea.
Watazamaji wengi wataangalia mechi hii kama ilivyokuwa jana kwa Chelsea na Baca
So kwangu naona kabisa ni mechi...
Kitu ambacho wengi hawaelewi ni kwamba chelsea inawachezaji ambao wana uchu na vikombe pamoja na mafanikio kila mchezaji aliyeoko Chelsea anatamani ashinde na afanikiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.