Wajua watu hawataki kukubali ukweli kwamba cdm kuna ttz ukisoma waraka wa the late chacha wangwe utaona kuna mambo ya msingi ambayo marehemu aliyapigania na hadi leo hayo matatizo bado yapo mm nawashangaa watu ambao hawataki kukubali kwamba ndani ya cdm kuna ttz.ndo mana socrate aliamua kutembee...
Acheni fikra mgando maestro yuko poa na akiwa hapo studio atazamwe kama maestro siyo kama kiongozi wa simba,julio anafikra mgando mbona hata wachezaji wana mlalamikia anawatukana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.