Jaribu Junior
Member
- Nov 15, 2013
- 20
- 0
mzushi tu hunachochote mwaleta ukabila tu.
Lema aishangaa CCM
Na Grace Macha, Arusha
Godbless LemaMBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), ameeleza kushangazwa na jitihada za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe asichukuliwe hatua zaidi kwa madai ya kukinusuru chama kisisambaratike.
Lema alitoa kauli hiyo juzi wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Kilombero.
Alisema kuwa CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani kinachowanyima CCM usingizi, walipaswa kufurahia kusambaratika kwao, lakini cha kushangaza viongozi wa chama tawala wamekuwa wakiwaasa wasimfukuze Zitto.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wanalia wakitaka tupatane. Mbunge wao wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba naye analia kuwa CHADEMA tumefanya vibaya, tumrudishe Zitto.
Sisi tunawauliza tukifanya vibaya ni faida kwao, kwanini wanalia. CCM wanalalamika CHADEMA hatuna demokrasia, ni chama cha kibabe, tumemwonea Zito, kwamba tutapasuka. Hivi tukipasuka wao wataimarika sasa wanalia nini badala ya kufurahi? alihoji Lema.
Chanzo: T Daima
Mijadala hii kuhusu mgogoro wa CHADEMA kwani si umeshafungwa ama?
mzushi tu hunachochote mwaleta ukabila tu.
Lema ni Jembe hanaga mipasho kama huyo Zitto Mchumia Tumbo.
Wewe akiri zako zitakuwa matakonii, zitto unamlinganisha na huyu mla bangi, gombaa na n.k
mzushi tu hunachochote mwaleta ukabila tu.
Lema aishangaa CCM
Na Grace Macha, Arusha
Godbless LemaMBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), ameeleza kushangazwa na jitihada za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe asichukuliwe hatua zaidi kwa madai ya kukinusuru chama kisisambaratike.
Lema alitoa kauli hiyo juzi wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Kilombero.
Alisema kuwa CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani kinachowanyima CCM usingizi, walipaswa kufurahia kusambaratika kwao, lakini cha kushangaza viongozi wa chama tawala wamekuwa wakiwaasa wasimfukuze Zitto.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wanalia wakitaka tupatane. Mbunge wao wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba naye analia kuwa CHADEMA tumefanya vibaya, tumrudishe Zitto.
Sisi tunawauliza tukifanya vibaya ni faida kwao, kwanini wanalia. CCM wanalalamika CHADEMA hatuna demokrasia, ni chama cha kibabe, tumemwonea Zito, kwamba tutapasuka. Hivi tukipasuka wao wataimarika sasa wanalia nini badala ya kufurahi? alihoji Lema.
Chanzo: T Daima
Tz daima ni la mbowe mbowe ni chadema hivo tz ni gazzeti la kuwatetea chadema haliandiki kwa weled
Wewe akiri zako zitakuwa matakonii, zitto unamlinganisha na huyu mla bangi, gombaa na n.k