Yanga waomba hela za azam tv

Yanga waomba hela za azam tv

waelimishe hawa jamaa. Wenye njaa zao wamemaliza zamani. Baada ya usaliti wa akina rage, yanga haina jinsi.

mkuu mnatiana moyo tu. Yanga wameomba wapewe milion mia tu. Haijaongezeka hata mia. Sasa mlikataa nini?
 
He he hee! Juma Kaseja amekausha account yao! Unafanya mchezo na kumlipa sh. milioni 40 plus mshahara wa milioni tano kila mwezi kwa miaka miwili! He he hee, hapo bado maproo hawajasusia mazoezi kudai chao!
 
Mkuu umeeleza vizuri sana...........Za chini ya kapeti walikubaliana upandeni na azam mil.650. timu nyingine waliwai kwa pupa wakidhani azam agewithdraw offer yake.
 
mkuu nyerere lugha yako nayo utata........wewe ulitaka asajiliwe thumni? for a goalkeeper of Kaseja,s quality 40mil is fair deal.
 
hela zote za yanga zilekwa kwa watoto yatima mana wao wanajifanya wanazo pesa nyingi,manji anawadanganya.
 
Mmmh Msalieni mtume yanga jamani!! mnamzalilisha hivi hivi Manji! Kweli mmeenda kudai kwa Bakhressa zile hela? Na kukomaa kote kule! Ama hakika njaa sio mchezo!!!
Kuanzia Leo Tusiwasikie tena eti hatuitaki AZAM TV! kaeni Kimya kabisa ndala wakubwa nyie!!
 
Baada ya kudengua kupokea mkwanja toka azam tv na tff kuwakaushia,hatimaye katibu wa yanga mwalusako ameenda bodi ya ligi kuomba hela ya udhamini. Bodi ya ligi imewaambia waandike barua ili wapewe hizo hela.
Hii Habari haina ukweli wowote mkuu....

Mwanaspoti waliiandika baada ya kupotoshwa na Silas Mwakibinga...

Tafuta gazeti la Mwananchi la Jumapili ya tarehe 17/11/2013 kuna Habari ya Yanga kujipanga kuichukulia hatua za kisheria Azam TV kwa kulazimisha kuonesha mechi zao bila ridhaa yao.....

Taarifa hiyo imemnukuu Lawrence Mwalusako akikanusha kwenda Bodi ya Ligi kuomba kulipwa fedha za Azam TV.....

Btw unamfahamu vizuri CEO wa TPL Board Silas Mwakibinga?...
 
Baada ya kudengua kupokea mkwanja toka azam tv na tff kuwakaushia,hatimaye katibu wa yanga mwalusako ameenda bodi ya ligi kuomba hela ya udhamini. Bodi ya ligi imewaambia waandike barua ili wapewe hizo hela.
wangewakaushia tu ili tuone na mtani jembe yao..
 
Hii Habari haina ukweli wowote mkuu....

Mwanaspoti waliiandika baada ya kupotoshwa na Silas Mwakibinga...

Tafuta gazeti la Mwananchi la Jumapili ya tarehe 17/11/2013 kuna Habari ya Yanga kujipanga kuichukulia hatua za kisheria Azam TV kwa kulazimisha kuonesha mechi zao bila ridhaa yao.....

Taarifa hiyo imemnukuu Lawrence Mwalusako akikanusha kwenda Bodi ya Ligi kuomba kulipwa fedha za Azam TV.....

Btw unamfahamu vizuri CEO wa TPL Board Silas Mwakibinga?...
kwi kwi kwi kwi na bado mpaka mtie akili mna njaa mbaya sana yanga..
 
Hela hiyo ndogo kwa chama kama YANGA,chezea Yanga.....
 
mkuu nyerere lugha yako nayo utata........wewe ulitaka asajiliwe thumni? for a goalkeeper of Kaseja,s quality 40mil is fair deal.

Ulinikusudia mimi? Kama ndimi, soma tena post zangu.
 
he he hee! Juma kaseja amekausha account yao! Unafanya mchezo na kumlipa sh. Milioni 40 plus mshahara wa milioni tano kila mwezi kwa miaka miwili! He he hee, hapo bado maproo hawajasusia mazoezi kudai chao!

chezea njaa veve...
 
Baada ya kudengua kupokea mkwanja toka azam tv na tff kuwakaushia,hatimaye katibu wa yanga mwalusako ameenda bodi ya ligi kuomba hela ya udhamini. Bodi ya ligi imewaambia waandike barua ili wapewe hizo hela.

Soma hapa...
 

Attachments

  • IMG_20131119_112234.jpg
    IMG_20131119_112234.jpg
    429.1 KB · Views: 73
Mmmh Msalieni mtume yanga jamani!! mnamzalilisha hivi hivi Manji! Kweli mmeenda kudai kwa Bakhressa zile hela? Kweli ! Kweli!
 
Back
Top Bottom