Mbowe bado tunakuhitaji chadema hadi utakapo taka kuondoka

why

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
203
82
Tunakuhitaji bado kwani utumishi wako umetukuka, mbowe kaongoza chadema tangu 2004, hiki ni kipindi chake cha pili kinachoisha 2014, ni mwaka wa 9 sasa, na bado chama kinamuhitaji maana ameonesha utumishi uliotukuka hatuhitaji ccm watuchagulie kiongozi wetu ndani ya chama chetu. Tutamtaka hata aongoze miaka yote kwani anayo nia ya dhati ya kuwakomboa watanzania. Ni tangu lini chama cha siasa kikachaguliwa kiongozi na chama kingine? Ni kwa nini ccm hawamtaki mbowe wanamtaka zitto? Huhitaji shule kubwa kujua siri iliyopo hapa kwa zitto.
 
Breaking news;- slaa adhalilishwa kigoma kaskazini jioni hii. Akimbia mkutano:


Wakuu,


Taarifa za uhakika kutoka kwa katibu wa JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI CHADEMA ndugu RAMA RUAHA, ni kwamba Katibu mkuu wa CHADEMA Padri SLAA leo alikuwa afanye mikutano miwili katika vijiji viwili baada ya kukimbia NGOME KUU YA ZZK ''MWANDIGA'' na kukimbilia kuweka mikutano ifanyike kijiji cha NYARUBANDA na mwingine KIDAHWE.


Taarifa kamili ni kama ifuatavyo


(i). MKUTANO WA NYARUBANDA. - Itabidi PADRI SLAA aishukuru mvua iliyowatawanyisha wananchi wenye HASIRA walioanza kumshambulia SLAA kwa mabango, maneno makali na mawe, huku vijana wake wa REDBRIGED wakionyesha kuishiwa nguvu na kuomba msaada wa POLISI.


SLAA anayejidai kichwa ngumu leo ameishukuru mvua hiyo iliyositiri AIBU YAKE YA KARNE YA KUPOPOLEWA NA MAYAI VIZA NA MAWE.


(ii). MKUTANO WA KIDAHWE - Katika Hali ile ile ya WAHA WA KIGOMA kumchukia DOKTA SLAA kwa kuwafanya wendawazimu na kuwataka washerehekee MAZISHI YA KIJANA WAO, huku SLAA ILIMBIDI AINGIE MITINI.


NDIO, SLAA AMESHINDWA KUTOKEA MKUTANONI KIDAHWE BAADA YA KUAMBIWA KUWA WANANCHI WA ENEO HILO WANA HASIRA NA CHUKI KUBWA DHIDI YAKE, VIONGOZI WA CHADEMA KIDAHWE WALIKATAA HATA KUMUWEKEA MEZA YA KUSIMAMA KUHUTUBIA, GARI LA M4C LILILOONGOZANA NA VIBARAKA WAKE LILIAMBULIA MATUSI MAKUBWA NA MAWE MFULULIZO KISHA KUPEWA TAHADHARI KUWA MLETENI SLAA AONE CHA MTEMA KUNI.


KWA KIFUPI KABISA SLAA AMEUMBUKA KWA KUSHINDWA KUHUTUBIA JIMBONI KWA ZITTO KABWE,


WENYEWE WANASEMA ''slaa hawezi kutuulia mwanetu halafu anakuja kutuimbia NGOMA za kikweo tucheze, sisi sio wapuuzi''


namuomba MOLEMO, BEN SAA NANE, TUMAINI MAKENE, WAITARA NA WENGINEO WOTE WAJE HAPA KUBISHA AMA KUTHIBITISHA TOFAUTI''
 
MUANZISHA MAADA UKO SAHIHI KABISA

NA CCM KWA SABABU KWA MIAKA HAMSINI IMEONYESHA NIA YA DHATI YA KULIONGOZA TAIFA HILI, BASI IENDELEE KUKAA MADARAKANI MPAKA TUTAKAPOAMUA IONDOKE

Umefikiria kwa kutumia makalio
 
Ni wakati wa chadema kuonesha wana watu wengi wenye uwezo hata kushika madaraka mbalimbali kiserikali na hili litawezekana kwa kuwaamini watu wengine kuongoza chama mbali na Mbowe,Slaa na Zito
 
Tunakuhitaji bado kwani utumishi wako umetukuka, mbowe kaongoza chadema tangu 2004, hiki ni kipindi chake cha pili kinachoisha 2014, ni mwaka wa 9 sasa, na bado chama kinamuhitaji maana ameonesha utumishi uliotukuka hatuhitaji ccm watuchagulie kiongozi wetu ndani ya chama chetu. Tutamtaka hata aongoze miaka yote kwani anayo nia ya dhati ya kuwakomboa watanzania. Ni tangu lini chama cha siasa kikachaguliwa kiongozi na chama kingine? Ni kwa nini ccm hawamtaki mbowe wanamtaka zitto? Huhitaji shule kubwa kujua siri iliyopo hapa kwa zitto.

Huna akili hata moja.
 
Breaking news;- slaa adhalilishwa kigoma kaskazini jioni hii. Akimbia mkutano:


Wakuu,


Taarifa za uhakika kutoka kwa katibu wa JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI CHADEMA ndugu RAMA RUAHA, ni kwamba Katibu mkuu wa CHADEMA Padri SLAA leo alikuwa afanye mikutano miwili katika vijiji viwili baada ya kukimbia NGOME KUU YA ZZK ''MWANDIGA'' na kukimbilia kuweka mikutano ifanyike kijiji cha NYARUBANDA na mwingine KIDAHWE.


Taarifa kamili ni kama ifuatavyo


(i). MKUTANO WA NYARUBANDA. - Itabidi PADRI SLAA aishukuru mvua iliyowatawanyisha wananchi wenye HASIRA walioanza kumshambulia SLAA kwa mabango, maneno makali na mawe, huku vijana wake wa REDBRIGED wakionyesha kuishiwa nguvu na kuomba msaada wa POLISI.


SLAA anayejidai kichwa ngumu leo ameishukuru mvua hiyo iliyositiri AIBU YAKE YA KARNE YA KUPOPOLEWA NA MAYAI VIZA NA MAWE.


(ii). MKUTANO WA KIDAHWE - Katika Hali ile ile ya WAHA WA KIGOMA kumchukia DOKTA SLAA kwa kuwafanya wendawazimu na kuwataka washerehekee MAZISHI YA KIJANA WAO, huku SLAA ILIMBIDI AINGIE MITINI.


NDIO, SLAA AMESHINDWA KUTOKEA MKUTANONI KIDAHWE BAADA YA KUAMBIWA KUWA WANANCHI WA ENEO HILO WANA HASIRA NA CHUKI KUBWA DHIDI YAKE, VIONGOZI WA CHADEMA KIDAHWE WALIKATAA HATA KUMUWEKEA MEZA YA KUSIMAMA KUHUTUBIA, GARI LA M4C LILILOONGOZANA NA VIBARAKA WAKE LILIAMBULIA MATUSI MAKUBWA NA MAWE MFULULIZO KISHA KUPEWA TAHADHARI KUWA MLETENI SLAA AONE CHA MTEMA KUNI.


KWA KIFUPI KABISA SLAA AMEUMBUKA KWA KUSHINDWA KUHUTUBIA JIMBONI KWA ZITTO KABWE,


WENYEWE WANASEMA ''slaa hawezi kutuulia mwanetu halafu anakuja kutuimbia NGOMA za kikweo tucheze, sisi sio wapuuzi''


namuomba MOLEMO, BEN SAA NANE, TUMAINI MAKENE, WAITARA NA WENGINEO WOTE WAJE HAPA KUBISHA AMA KUTHIBITISHA TOFAUTI''

weka picha we chuma chakavu!
 
Naunga mkono hoja! Given wakati tuliyonayo na hila mbaya za CCM na washirika wake, CDM inamuhitaji kiongozi shupavu asiekuwa na price tag mgongoni! Zitto na masalia wengine wahamie CCM! ...
 
hawa watu wa ccm wanafiki sana walizani zito atakuwa msaada kwao la hasha kagunduliwa na kinachofuata ni kufukuzwa chamani halafu nao watamtelekeza kama walivyofanya kwa wengi tuu kama historia anavyoonyesha sasa pale tabata kwenye nyumna za nssf napo atagukuzwa tuu mida ikifika,
 
Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA, hata kama hataki tutamlazimisha kwa bunduki
 
Kile kipengele cha ukomo wa kushika madaraka katika uongozi wa juu katika chama ni lazima kirejeshwe kiamilifu kama ilivyo kuwa awali. Kipngele hiki kiheshimiwe.
 
Katiba ni lazima iheshimiwe na kulindwa.Inatusaidia zaidi kichama kuilinda na kuiheshimu katiba. Mapenzi kwa mtu fulani ndani ya chama ni haki ya kila mtu. Hata hivyo mapenzi ni lazima yaende sambamba na katiba ya chama.Ni muhimu kuwa na ukomo katika uongozi wa juu kama waanzirishi wa chama walivyoainisha tangu mwanzo kwa kuzingatia afya na ustawi wa kudumu wa chama.
 
Tunakuhitaji bado kwani utumishi wako umetukuka, mbowe kaongoza chadema tangu 2004, hiki ni kipindi chake cha pili kinachoisha 2014, ni mwaka wa 9 sasa, na bado chama kinamuhitaji maana ameonesha utumishi uliotukuka hatuhitaji ccm watuchagulie kiongozi wetu ndani ya chama chetu. Tutamtaka hata aongoze miaka yote kwani anayo nia ya dhati ya kuwakomboa watanzania. Ni tangu lini chama cha siasa kikachaguliwa kiongozi na chama kingine? Ni kwa nini ccm hawamtaki mbowe wanamtaka zitto? Huhitaji shule kubwa kujua siri iliyopo hapa kwa zitto.

Mchaga halisi, mpaka atapoamua mwenyewe kutoka. Na baada ya yaliyomkuta Zitto hakuna atayethubutu kujitokeza kugombea nafasi hiyo.

Mbaya wako umeshamporomosha wewe peta tu na darasa la saba lako.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom