CDMIkiwa huru inawakosesha Raha sana nadhani watafarijika wakiifungia wakisikia mahali tu inafanya mkutano hawalali lakini kuwanyamazisha watu ni jambo baya sana ukiziba njia zote zakupumilia Aidha huto mtu afe au atapetape
Uchawi upo na wachawi wapo ila siyo kwa jinsi ambayo wanasimulia watu.kua mchawi anaweza kupita kwenye pembe ya ukuta au mchawi anaweza kuruka na ungo au mchawi anaweza akakuonyesha mbaya wako kwenye kibuyu Kisha akamchoma kisu akafa la hasha uchawi Auko hivyo.Uchawi ni Elimu ya kuogofya watu...
Yesu akisema Yale niliyoyasikia nakuyaona kwa Baba yangu yote nimewapeni kwahiyo Kila mtumishi anatoa Yale alio yaona nakupewa kwa Baba yake kwa hiyo kama humuelewi unapaswa kuacha tu kumfuata kwa sababu Ktk ulimwemgu Huu Kuna wababa wengi wengi ila Baba wa wote wenye mwili ni Mmoja naye ni Mimi...
Hata hai magereza wakiambiwa wasiweke vikwazo wakiamua wataweka na hakuna mtu wakuwafanya kitu kwa sababu hawafanyi kwa matakwa Yao ila kwa kuagizwa wafanye hivyo
Shetani wapi wa Aina mbili wa kimwili na wakiroho wakiroho ni yule unaye mtengeneza kwenye mawazo yako machafu wa kimwili ni wewe ukishakubaliana na hayo mawazo yako mabaya kwahiyo uamuzi ni wako wakushirikiana naye au kutoshirikiana naye.Na malaika ni hivyo hivyo wapo Malala wa kimwili na...
Mimi nikutakie kila la kheri katika kazi zako na Mungu azidi kukubariki. Kumsifia Rais siyo kosa na wala si kikigezo cha kuwa unajikomba ili kumrubuni kwakutumia kalamu ili upate wadhifa wowote. Kwanza watu waelewe kuwa wewe hii kazi ni taaluma yako ambayo umeisomea na kupratise kwa mda mrefu...
Mchakato wa uchaguzi uganda ulikwenda vizuri na taratibu nyingine, hakuna maswala yakuenguana enguana hajuna maswala yakuzuia mawakala, hakuna maswala yazuia wagombea wasifanye kampeni kuna rabsha za hapa napale tu katiya polisi na vyama vya upinzani. Kwahiyo hawezi kufanya hayo kwakuwa...
Mbona Alisema kuwa sababu kubwa ni mashahidi hawatakiwi kujua nini kinaendelea mahakamani na ikiwa mubashara mashahidi nao wataona kila kitu kinacho endelea.Pamoja na swala la kuwalinda mashahidi ambao ni Raia. Ingawa mimi siyo mwanasheria lakini hivyo nivitu ambavyo nilivinukuu kwenye maamuzi...
Hakuna ufa wowote watazania hawana ujanja wowote . Zaidi ya Porojo za akina Polepole na Mange kimambi wanaume kama wakina hance Pop,Khatib Maghee,Kamandoo tamimu na kadego hawapo tena hivi sasa kumebaki wacheza yoga
Polepole anapanda Mbegu ya Uasi inaweza isimee leo lakini itamea.Ukiona chukizo la uharibu linashambulia patakatifu ujue ,patakatifu pameshatekwa kwahiyo mnapaswa kukimbilia mlimani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.