Recent content by Japhet gombe

  1. J

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    CDMIkiwa huru inawakosesha Raha sana nadhani watafarijika wakiifungia wakisikia mahali tu inafanya mkutano hawalali lakini kuwanyamazisha watu ni jambo baya sana ukiziba njia zote zakupumilia Aidha huto mtu afe au atapetape
  2. J

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Uchawi upo na wachawi wapo ila siyo kwa jinsi ambayo wanasimulia watu.kua mchawi anaweza kupita kwenye pembe ya ukuta au mchawi anaweza kuruka na ungo au mchawi anaweza akakuonyesha mbaya wako kwenye kibuyu Kisha akamchoma kisu akafa la hasha uchawi Auko hivyo.Uchawi ni Elimu ya kuogofya watu...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Prophet IPM anahubiri injili gani?

    Yesu akisema Yale niliyoyasikia nakuyaona kwa Baba yangu yote nimewapeni kwahiyo Kila mtumishi anatoa Yale alio yaona nakupewa kwa Baba yake kwa hiyo kama humuelewi unapaswa kuacha tu kumfuata kwa sababu Ktk ulimwemgu Huu Kuna wababa wengi wengi ila Baba wa wote wenye mwili ni Mmoja naye ni Mimi...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mawakili wa Lissu wamfungulia kesi Kamishna wa Magereza na Mkuu wa Gereza kuu la Ukonga

    Hata hai magereza wakiambiwa wasiweke vikwazo wakiamua wataweka na hakuna mtu wakuwafanya kitu kwa sababu hawafanyi kwa matakwa Yao ila kwa kuagizwa wafanye hivyo
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua shetani alipo ni kwenye Betting

    Shetani wapi wa Aina mbili wa kimwili na wakiroho wakiroho ni yule unaye mtengeneza kwenye mawazo yako machafu wa kimwili ni wewe ukishakubaliana na hayo mawazo yako mabaya kwahiyo uamuzi ni wako wakushirikiana naye au kutoshirikiana naye.Na malaika ni hivyo hivyo wapo Malala wa kimwili na...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Jopo la Mawakili wa Said Issa Mohamed watoa tamko wakisisitiza CHADEMA haitakiwi kujihusisha na siasa

    Chadema kinaendeshws kwa mujibu wa sheria hilo wewe unalotaka labdo uazishe genge lako
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mimi Pascal Mayalla Sipongezi Kutafuta Uteuzi Wowote!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine Kumtia Moyo Kwa Mazuri ya Kweli!

    Mimi nikutakie kila la kheri katika kazi zako na Mungu azidi kukubariki. Kumsifia Rais siyo kosa na wala si kikigezo cha kuwa unajikomba ili kumrubuni kwakutumia kalamu ili upate wadhifa wowote. Kwanza watu waelewe kuwa wewe hii kazi ni taaluma yako ambayo umeisomea na kupratise kwa mda mrefu...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Wakatoliki wa kuchovya: Tulipewa elfu kumi kumi tukapande miti.

    Upo sahihi
  9. J

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Uganda: Mbona hatuoni Waganda wakichoma, kuharibu miundo mbinu na kuiba mali za watu baada ya matokeo?

    Mchakato wa uchaguzi uganda ulikwenda vizuri na taratibu nyingine, hakuna maswala yakuenguana enguana hajuna maswala yakuzuia mawakala, hakuna maswala yazuia wagombea wasifanye kampeni kuna rabsha za hapa napale tu katiya polisi na vyama vya upinzani. Kwahiyo hawezi kufanya hayo kwakuwa...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini Uganda inarushwa mubashara ktk TV. Kwanini kesi ya TAL hairushwi mubashara na TV za Tanzania?

    Mbona Alisema kuwa sababu kubwa ni mashahidi hawatakiwi kujua nini kinaendelea mahakamani na ikiwa mubashara mashahidi nao wataona kila kitu kinacho endelea.Pamoja na swala la kuwalinda mashahidi ambao ni Raia. Ingawa mimi siyo mwanasheria lakini hivyo nivitu ambavyo nilivinukuu kwenye maamuzi...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki Kirumba lazingirwa na Polisi kisa Mkutano wa CHADEMA, baadhi ya watu wamekamatwa

    Hakuna ufa wowote watazania hawana ujanja wowote . Zaidi ya Porojo za akina Polepole na Mange kimambi wanaume kama wakina hance Pop,Khatib Maghee,Kamandoo tamimu na kadego hawapo tena hivi sasa kumebaki wacheza yoga
  12. J

    JamiiForums Tanzania I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Watamnyonga kwa kesi gani kwani unazani na wao hawana akili.hizi ni mbinu tu zakupunguza joto la kisiasa
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Polepole anapanda Mbegu ya Uasi inaweza isimee leo lakini itamea.Ukiona chukizo la uharibu linashambulia patakatifu ujue ,patakatifu pameshatekwa kwahiyo mnapaswa kukimbilia mlimani.
Back
Top Bottom