😂😂 sema man city Leo imecheza tofauti tusiilaumu arsenal. Yan Leo city walijigawanya pande mbili, wanaoshambulia na wengine walikuwa krb na high line hawatoki😂
Niko na wewe bega kwa bega. Ukweli ni kwamba Dar imebana. maeneo mapya ya pembezoni yanachukua muda mrefu kuwa makazi rasmi. Na huko ndo kwenye viwanja.
Ishu si kufunga masaa yaliyowekwa. Sion sababu ya kukashifu. Maan hat mm natafakar kweny mifung yangu maybe nitakuwa na ratib kama ya Hawa ndg zangu. Sion Kam kun ubaya
Oya acha kufanya watu wajinga basi. Epstein Files zimejikita zaidi kwenye orodha ya watu waliokuwa marafiki zake, waliosafiri kwenye ndege yake, na waliohusika katika vitendo vya unyanyasaji wa kingono na usafirishaji wa binadamu.
Nimesom baadhi ya comments. Kwa upande wangu mm naon wan force ufany vitu ambavyo hautaweza. Mfano suala la kupunguza matumiz ambay ni ya lazim. Mm nakubalian na yule aliyesem tanua iyo biashara. Mfano unawez kuongeza mpesa Yan Kam umewez kubuni biashara na ukaingiz iyo fedha huo ni mwanzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.