Sungura wanaozungumz hawapo kwasababu sijawai kuwaon. Najua pia ulitak nithibitish hivi ili nipate jibu kupitia swali lako. Lakin yote kwa yote yote naona kama unapinga ili kutaka kujua zaidi na ni kama unafany udadisi kupitia mawaz ya watu ila itabaki kuwa hivyo mamb ya mungu yamekaa kiimani...
😀Mimi nataka kukupa challenge sio kwa ubaya lakin. Ww nithibitishie kwa hoja moja kuwa mungu hayupo bila kutumia hoja za kisayansi maan hizo hoja zimewekwa na watu. Mim natak hoja yako ww
😀😀 Sidhan kama anayo maneno ya kukushawishi. hivi vitu vimekaa kiimani sana. Rumi 10-17 Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
Uzi mzuri sana huu lakn kwa mm sishaur mtu anunue pixel hasa 8 na kushuk chin. Juzi nimeenda kariako na kupita maduk kadhaa kila pixel niliyoikagua kupitia IMEI nikakuta zote feki na information zimefungwa sikuelewa kwanini
Umenifurahisha ulipomalizia kwa kwa kusema mama ametukuka kwa kugusa maisha ya wanyonge. Aisee kwa Mara ya kwanza naanza kuhisi uwenda uchawa si kazi rahisi Kama nilivyokuwa nafikiri
Mtu kukemea uovu ndo amehukumu? Na mbon uzi mzm umetumia kumkuosoa gwajim huku ukijifany haupo upande wowote.hay bs mm nakujib askof gwajim ni mtumish wa mungu.
😂😂 sema man city Leo imecheza tofauti tusiilaumu arsenal. Yan Leo city walijigawanya pande mbili, wanaoshambulia na wengine walikuwa krb na high line hawatoki😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.