Recent content by Janvansina

  1. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Mtu kukemea uovu ndo amehukumu? Na mbon uzi mzm umetumia kumkuosoa gwajim huku ukijifany haupo upande wowote.hay bs mm nakujib askof gwajim ni mtumish wa mungu.
  2. Janvansina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    😂 Ww arseanal alikuwa na plan ya kubebe makombe mann msimu huu. Huoni arteta alivyochukia na mashabik kuondoka uwanjani
  3. Janvansina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    😂😂 sema man city Leo imecheza tofauti tusiilaumu arsenal. Yan Leo city walijigawanya pande mbili, wanaoshambulia na wengine walikuwa krb na high line hawatoki😂
  4. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa majengo haulipi

    Hivyo ujenz ni biashara kichaa na inachukua miak mingi mpaka itoe matokeo
  5. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa majengo haulipi

    Niko na wewe bega kwa bega. Ukweli ni kwamba Dar imebana. maeneo mapya ya pembezoni yanachukua muda mrefu kuwa makazi rasmi. Na huko ndo kwenye viwanja.
  6. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuweka begi dirishani kwenye daladala ili kuwahi siti inaboa sana. Ntakuja nipige mtu ngumi

    Kawe- gerezani 😅 Ina shida iyo ruti
  7. Janvansina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa nzuri ni ambayo mke na mume hushinda wote kwenye utafutaji na kurudi pamoja nyumbani

    Umeongea point sana kaka.
  8. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Tuache unafiki mtu usiku kucha umekesha unakula vyakula vya kutosha halafu next day unajifanya saumu imekaza😆

    Ishu si kufunga masaa yaliyowekwa. Sion sababu ya kukashifu. Maan hat mm natafakar kweny mifung yangu maybe nitakuwa na ratib kama ya Hawa ndg zangu. Sion Kam kun ubaya
  9. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Kampeni zimeisha, pikipiki na baiskeli alizogawa Samia zinadaiwa huko

    Ni ukaguzi tu jmn😅
  10. Janvansina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna namna unaweza kufanya ili usigongewe mke

    Duu Noma😅
  11. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    😅 Kuna watu bila kutukana Hawana point ya kukupa attention
  12. Janvansina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna namna unaweza kufanya ili usigongewe mke

    Hapo kwenye ibada ya kwanza umeniacha hoi😅
  13. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Oya acha kufanya watu wajinga basi. Epstein Files zimejikita zaidi kwenye orodha ya watu waliokuwa marafiki zake, waliosafiri kwenye ndege yake, na waliohusika katika vitendo vya unyanyasaji wa kingono na usafirishaji wa binadamu.
  14. Janvansina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ninapoisom hii taarifa najisikia kuchoka. Ila kwanamn yoyote jamaa atakuwa ana shida ata kama iyo ajali haimusu yeye
  15. Janvansina

    JamiiForums Tanzania Income ipo, expenses za ofisi zipo chini yake lakini profit haiendani na juhudi

    Nimesom baadhi ya comments. Kwa upande wangu mm naon wan force ufany vitu ambavyo hautaweza. Mfano suala la kupunguza matumiz ambay ni ya lazim. Mm nakubalian na yule aliyesem tanua iyo biashara. Mfano unawez kuongeza mpesa Yan Kam umewez kubuni biashara na ukaingiz iyo fedha huo ni mwanzo...
Back
Top Bottom