Recent content by jani

  1. jani

    CCM msaidieni Ole Sabaya, ni mwenzetu tusihukumiane

    Siku tukijua tunachokitaka, labda.......labda tunaweza kuanza kuuona mwanga hata kwa mbali sana
  2. jani

    Kuna jamaa sijawahi kumuona akipigiwa simu sasa sijui simu ya nini kuwa nayo

    Na yeye hajawahi kukuona ukimind your bizines
  3. jani

    Hivi hawa wahudumu wa kike wa mahoteli mbona hawana utu?

    yani shida ipo hapa, na ukute mguu unatoa hewa ambayo siyo rafiki sasa
  4. jani

    Nimejiskia vibaya kutelekezwa porini na shemeji yangu usiku kuamkia leo

    swali la msingi sana hili, ukute kuna mazingira yanatengenezwa hapa ya shemeji shemeji huku taa inazimwa!
  5. jani

    Heshimu kila kitu Kama kilivyo!

    Mkuu, Huku Africa hii perception yako ita justify uzembe wa madaktari wakati wa uzazi pia. Ingekuwa sahihi basi hatukuwa na haja ya kuimprove matatizo watu wanayozaliwa nayo, kama midomo sungura, matege na vinginevyo kwasababu hao watu wamazaliwa hivyo kwa sababu maalum!
  6. jani

    Dkt. Vicencia Shule: Ubora wa filamu ya Royal tour ni wa kiwango cha chini. Hata vijana wa bongo movie wangeweza kuitengeneza

    Mtaalam, Mbona hatujawahi kuona hizo docs kutoka kwa vijana wabongo zenye hizo basic issues kama unavyosema!
  7. jani

    EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

    hahaha, anaiponya nchi! comforter-in-chief wanamuita
  8. jani

    Nimewashangaa sana Lissu na Heche baada ya kusikiliza mjadala wa Royal Tour kwenye Club House ya Maria Sarungi

    haha, Mkuu, jamaa wanayo misingi, ambayo ni kupinga kila kilichopo!
  9. jani

    Kwa ardhi tuliyonayo tunashindwa nini kuzalisha alizeti tukawa wauzaji wa mafuta kwa Afrika

    Sisi ni inchi tajiri, na matajiri hawaangaiki na vilimo, waking’atwa na nyoka je! Au nasema uongo ndugu zanguuu..?
  10. jani

    DC Ludigija: Kuna Meli inavujisha mafuta baharini, Watu wa Dar msinunue mafuta ya kwenye Madumu, yamechotwa Baharini

    Hahaha, itakua ni kinyesi cha papa hiki wakuu, chukueni tahadhari
  11. jani

    Uhamiaji naomba muwamulike Wanaijeria walio Tanzania

    Wanakuza uchumi, hizo moet mauzo yake si yamemnufaisha mtanzania mwenzetu bana, shida ipo wapi!
  12. jani

    Bei ya Petrol Ngara yafikia 5000 kwa lita. Mamlaka ya Maji yashindwa kutoa huduma

    Hii ndio ile asali anayoizungumzia mzee makamba!
  13. jani

    Yaliyojiri Weekend ya jana Kidimbwi

    Unasema Huna habari lakini unajua sio tuu mpaka jamaa na orders za madem wake, bali mpaka hela aliyokuwa nayo na hali yake ya kiuchumi!
Back
Top Bottom