kipofu anaota,, vizuri tu kabla ya kuwa na mwili huo ambao hauna macho aliishawahi kuishi katika mwili wa macho,, hivyo kumbu kumbu anazo vizuri tu za huko nyuma..
usikute hata mleta mada huko nyuma ulishawahi ishi ukiwa kipofu ukafa ukarudi tena ukiwa na macho,, ipo hivyo..