Recent content by JANETH PETER MAYANJA

  1. J

    Membe: Kachero, Mwanadiplomasia mtata na rafiki wa wasomi, muendelezo sehemu ya 2

    Penye ukweli tuseme tusiwe na chuki za bila msingi hongera membe juzi nimetoka jimbo la mtama wanakunena vizuri umepeleka maji nyangao big up dady, pia umeishi maisha ya watanzania waliowengi unaweza kufanya kitu kwao
  2. J

    Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

    Pinda kama unataka selikali mbili tuambie na majibu haya mbona zanzibar kwenye katiba yao wameainisha kuwa zanzibar ni nchi, wana wimbo wao, bendera yao, katiba yao inaruhusu wazanzibari ndio wanahaki ya kumiliki ardhi tu? Sasa tanganyika haina katiba, wimbo, bendera huu ni muungano gani? Hivi...
  3. J

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Tatu, ili na tanganyika tuwe na katiba yetu, wimbo wetu, bendera yetu n.k
  4. J

    Jaji Warioba: Nani anayeijua zaidi Migogoro ya Muungano huu Kati ya Majaji na Wanasiasa?

    Big up: Ni kweli kabisa hawa wanasiasa wanavtyotaka selikali mbili watupe majibu yafuatayo huu ni muungano gani ambao zanzibar wanakatiba yao, wimbo wa nchi yao kama wa taifa, bendera yao, wakati sisi tanganyika hatuna hivyo na vigine vingi
  5. J

    Membe: Sitagombea Ubunge 2015... Ataka CCM ijisafishe kuelekea uchaguzi 2015

    Tuongee ukwei wa mungu membe ameongea vizuri sana big up
  6. J

    Membe: Sitagombea Ubunge 2015... Ataka CCM ijisafishe kuelekea uchaguzi 2015

    hongera membe umeongea vizuri CCM ni chama imara kujisafisha ni mhimu kuna wachache wanaharibu naukweli usiopingika CDM ni moto
  7. J

    Mandela hastahili heshima ya juu hivi kupita makubwa yaliyofanywa na akina Nyerere

    Anastahili mandela kuheshimiwa alifungwa miaka 26 kwa ajili ya kupinga ubaguzi wa rangi ili kuwakomboa waafrica weusi africa ya kusini, aliwasamehe waliomfunga nani anaweza? Wazazi wake walimuomba kuachana na harakati za siasa lakini mandela alisimamia msimamo wake anatisha, maisha yake ya...
  8. J

    Maneno ya Busara ya Obama, ana haki kushangiliwa. Nani ataweza kumuenzi Madiba kwa vitendo!

    Hongera obama umetisha u was unique katika speech yako, kwakweli mandela aliletwa na mungu kwa kusudi maalumu kuleta ukombozi kwa kujitoa sadaka
  9. J

    Mwanasheria wa Zitto atolea ufafanuzi makosa 11 ya Zitto na wenzake

    Zit ni wakati wa kutulia subiri majibu na ujifunze ulipoteleza achana na media zinachochea mgogoro
  10. J

    Zitto, Kitila na Mwigamba wajisalimisha CHADEMA

    wasamehewe sasa wajenge chama cha msingi wakumbushane kwa vikao vya siri mmoja anavyokosea tujifunze kutoka kwa mandela alisamehe wliomfunga miaka 27
  11. J

    Maneno ya Busara ya Obama, ana haki kushangiliwa. Nani ataweza kumuenzi Madiba kwa vitendo!

    Hongera sana Obama umeongea vizuri sana kwakweli unaupeo wa kufikiri hata kama wewe hujawahi kutekeleza sio vibaya kusema ukweli hakika unadamu ya afrika
  12. J

    Mwenzenu sielewi ni kwanini?

    Viongozi wa zamani kama mandela, nyerere wanatofautiana na wasasa wa zamani walijitoa kwa ajili ya wengine, walihangaika kutafuta furaha, amani, haki ya wengine waliweka maslahi ya wengine mbele yao nyuma ni mfano wa kuigwa viongozi kama hao sasa hakuna wamebaki wa kuweka maslahi yao mbele ya...
  13. J

    Kagame: I Fired EAC Minister Due To Incompetence

    Msiwe na mawazo mgando kikwete hana kosa ukimshauri rafiki yako akikutukana utfurahi? Hata hivyi inaonekna eac walikuwa wanatafuta sababu na sehemu ya kututoa hakuna chochote lakini bora mwisho wangechukua ardhi yetu na rasilimali zetu watu wenyewe hata shukrani hawana najua rais wetu yupo...
Back
Top Bottom