murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,051
- 639
Hitler of a kind
Hahahaha..any other words you would like to call him? Get it all out of your system maybe you will feel better. Then tomorrow the reality will hit you again.
Hitler of a kind
umeambiwa kama una orodha ya matusi hayo weka hapa! Ukweli ni kwamba JK anamtumia PK kujaribu kujirudishia upendo toka kwa watz wanaoichukia serikali yake!
Hapa kuna utata. usishangae hawa mabosi ukaona wanaikimbia Rwanda kama ilivyotokea kwa Kayumba nyamwasa halafu PK akawakuta huko huko ukimbizini kuwatandika (shooting) walivyofanywa akina sendashonga na kayumba nyamwasa (though the latter survived) . Hii inawezekana ni mabifu tu ya siku nyingi ambayo alikuwa anayatafutia kijisababu (appropriate time) so that he can hit as usual. YOu know PK ni mzee wa "waiting for an appropriate time and hit". Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya hayajafanyika kwa manufaa ya taifa, bali manufaa ya kwake mwenyewe and some few people. Msishabikie uendeshwaji wa nchi kwa mkono wa chuma halafu mnaona kama hiyo effectiveness. Iweje ufukuze watu wote hao kwa ajili ya handling ya mkutano tu?? Siyo matatizo ya fikra hayo??
Mkuu, kwa hiyo hili ndilo tusi lililopelekea 'wahamiaji haramu'!?...Aliposema angepewa Tz kuiongoza angehitaji miaka mitano tu kuitransform - JK alidhani anatukanwa.
Hapo ndio huwa namkubali PK,ingawa inaweza kuwa kamfukuza akiwa na motive ingine kabisa
This slim boy is very serious!!! Napenda uchapakazi wake kama si matusi yake ya juzi kwa Rais wetu bado ningemuona Rais wa mfano wa kuigwa!!
12/07/2013 14:11:00 Kenneth KazibweHuyu ndio raisi wetu in a nutshell. Hana mchezo katika kazi. Hana ndugu katika kazi. Yeye anaangalia maslahi ya nchi kwanza. Maandalizi mabovu ya mkutano tu yanamfukuzisha kazi waziri. Uwajibikaji. Hapo tanzania haya yanawezekana kweli?
Lengo la Paul Kagame tumeliona juzi huko Arusha kumbe lengo lake kuu ni kufanyike Mkutano wa EAC mjini Kigali na huyu mama aliposhindwa ndio akam FIREDThe President said that that he replaced Mukaluriza with Muhongayire because the former failed to organize well the recent EAC delegates' conference in Kigali.
"Why can't you communicate, where's your coordination. We can't reach any goals without working efficiently. This is the reason why I decided to change the Minister of East African Community," he said
Mkuu kweli unalolisema ni mchapakazi lakini anaweza akawa na agenda yake binafsi ambayo niiiiiiiiiii kupata ushawishi mwingi wa kuhamisha mikutano toka Arusha kwenda Nairobi kama si sikosei...Huyu mtutsi ataivuruga East Africa ataleta mizozo mingi bora kuwaengua hawa watu tubaki vile tulikuwa zamani nchi tatu huyu atatugeuza na sisi kama raia wake anaowatreat kama watoto wadogo wakati mwingine.Hapo ndio huwa namkubali PK,ingawa inaweza kuwa kamfukuza akiwa na motive ingine kabisa
JK alisema "...do not be deceived by my smile, I am serious on issues" hadi leo sijajua ni issues gani yupo serious
JK alisema "...do not be deceived by my smile, I am serious on issues" hadi leo sijajua ni issues gani yupo serious
Acha wee, nyie ndiyo mnaofuga uwozo Tanzania kwenu, au hujui Kiingereza? Si amesema hapo sababu ni poor communication and coordination?Kagame ni dictator, na anataka Mawaziri wake wafanye kazi kama anavyotaka yeye.
Hii taarifa ni ya upande mmoja; hatujasikia kutoka kwa waziri aliyefukuzwa. Tusichukulie tu kuwa Waziri alikuwa na makosa kwa sababu Kagame kasema.
Inawezekana Waziri alikuwa sahihi, ila walitofautiana kimtizamo, na Kagame akamtimua kwa kuwa ndiye mwenye uamuzi wa mwisho!
Nimeanza kwa kusema kwamba Kagame ni dictator. Unless unakataa kuwa Kagame si dictator, huwezi kuhitimisha moja kwa moja kwamba huyo waziri ndiye mwenye makosa.
Kwa mfano ukiwa waziri wa mambo ya ndani rais akakuamuru ufanye jambo ambalo una hakika kabisa kuwa litahatarisha usalama wa raia utafanya tu kwa kuwa rais kasema?!
- Hizi link tutaziweka mara nagapi hapa JF. angalie kwenye utube dakika ya 55 hadi 58 wakati kagame anawahutubia vijana kwenye foundation ya mke wake July 2013.
- Halafu JK hajawahi sema kuwa tutaitandika malawi. kikwete is a really diplomat who knows what speak. yeye ndiye aliye wahakikishia wamalawi kuwa tz haina mpango wa kupigana kijeshi na malawi na kuwa tz inaamini katika mazungumzo (alikanusha kauli iliyokuwa imetamkwa na lowasa akiwa kwenye kamati ya bunge)
- garasa ni tusi. diplomatically, that is an insult. lakni mtaani kwako inawezekana ikawa ni salamu
- nakadhalika (nk) means, fanya jitihada ya kusurf mtandaoni utaona mengi kuliko haya. nenda news rwanda, east african news n.k.