Mkuu Heshima yako
Nimekumbuka ule mtanange wako na Faiza Foxy 😆😆😆
Pamoja na yote wanayokubeza watu humu hujawahi kukimbia
Mimi nimejiunga JF when I was 14yrs Nina mengi yaliyoninufaisha JF nikiri tu JF ya sasa si kama ile ya zamani yenye mijadala mizuri nadhani ni hili ongezeko la mitandao...
Zamani vile watu walivyo kuwa wanalalamika kuwa kwenye vikao vya familia wenye hela ndo wanasikilizwa nilikuwa naona imekaa vibaya kweli lakini kwa jinsi nilivyo experience jinsi kutengeneza pisa kulivyo kugumu acha tu wenye pesa wapewe special seat
Nenda na ile formula ya spend less save more
Ukiweza kujibana ukapata 1m ukatafuta sehemu nzuri center ukafungua genge (sio duka la mangi) genge kama genge ila classy
Unauhakika wakulaza 10k faida na uwezekano wakuongezeka ni mkubwa sana
Muhimu tu umuone Mshana mapema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.