Recent content by Jane Msowoya

  1. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Unaona wivu au sio nawewe unaweza dinywa pia
  2. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Kiukweli Sihitaji tena mahusiano na mwanamke yoyote yule,

    Pole Sana kijana Ila kama Una future yako unaifukuzia nakushauri ni heri usi date kuliko madada poa ambao wanabeba mizigo ya kila aina
  3. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Guys, Naomba anaye jua kuhusu sexual transmutation a nisaidie.

    Ndo nyie wacheza porn au sijaelewa
  4. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Count me in ila ntalipia kiingilio
  5. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Hivi biashara unatakiwa uifanye ndio uijue au uifanye kwanza ndio uijue?

    Raha ya Ngoma uingie ucheze
  6. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    Ana miaka miwili kazini Kama ni askar basi wale walioingia bila fani
  7. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    Nikiwa kama mjasiliamali mwenze uzoefu WA karibu nusu ya maisha yangu nakushauri usikope USIKOPE USIKOPE USIKOPE Kwa mshahara wako wa 500k na kwa umri wako hutakiwi kukimbilia huko, two yrs kazini bado mchanga Sana presha za marafiki zisikushawishi Huo mkopo WA 20m utakatwa let's say 300k kwa...
  8. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Binti/Mwanamke unapenda nini zaidi kwenye "ubinti/uanamke"wako na kama kuna next life ungependa tena kuzaliwa kama mwanamke?

    Na hakuna Mwanamke anaemdharau Mwanamme anae muhudumia
  9. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Binti/Mwanamke unapenda nini zaidi kwenye "ubinti/uanamke"wako na kama kuna next life ungependa tena kuzaliwa kama mwanamke?

    Naona unaona wivu au sio Unaweza dinywa na wewe pia
  10. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Kwanini hakuna mtu anayeweza kuchunguza Antaktika kwa uhuru, wanatuficha nini?

    Umenena vyema Sana Embu leta lipa namba nilipie whine usindikize weekend yako WA Africa tunalalamika kila siku Ifike mahala tuzoee kujisimamia wenyewe
  11. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Wenye watoto wa kike tu

    Hapana, aliweka bond kwa wajukuu zake Mfano Kuna siku bint yangu WA 6yrs katoka nje getini anamwambia jirani nipeleke sehemu A kwa babu yangu Mzee B, jirani akaanza kum challenge kuwa utapotea anamwambia hapana wewe nipeleke Tu sehemu A halafu Mimi ntafika kwa babu yangu Hapo ni umbali...
  12. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Wenye watoto wa kike tu

    Tumeolewa ila alitengeneza mazingira wajukuu zake wote wake
Back
Top Bottom