At 41 bado unawaza kununua malaya?
Kwanini usitafute pisi yako moja yakudumu?
Malaya hawanaga Sura yenye "Nuru" They caried mambo mengi ya ajabu ajabu, imagine asubuhi Kalala na Juma, mchana John usiku Frank Kesho tena Kesho kutwa tena na Kibaya pia Ile Hali milango yote unaingia, hiyo Nuru...
Tumia hiyo ya katikati Hapo ya njano inaitwa Turbo zipo nyingi ila hakikisha inaonekana hivyo
Kuna muda itakutaka uangalie ads zao ili upate access nayo ila sijawahi lipia kutumia mwaka sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.