Recent content by Jane Msowoya

  1. Jane Msowoya

    Nachoka sana baada ya tendo la ndoa, nifanyeje?

    Fanya mazoezi Kula mlo kamili Mbegu za maboga Mwani Viwe sehemu ya maisha yako Ukipona niambie nikupe lipa namba kwa ajili ya sadaka
  2. Jane Msowoya

    Wanawake wamekuwa sehemu ya hamasa ya maisha kwangu

    Cheers to us🥰🥰
  3. Jane Msowoya

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Sasa kama denda unapiga unashindwaje ku share mswaki?
  4. Jane Msowoya

    Nataka kuanzisha biashara ya vinywaji vikali

    Usisahau kuajiri pisi inayo jielewa
  5. Jane Msowoya

    Sitaki kumsaliti mke wangu ila ananilazimisha

    Ningekwambia tufanyeje ila ngoja nimalize 6
  6. Jane Msowoya

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Hela kitu kingine ndugu yangu
  7. Jane Msowoya

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Kwani hujui???
  8. Jane Msowoya

    PESA MFUKONI ≠ FAIDA: Biashara ni zile zile, kwanini watu hawadumu?

    Elimu nzuri lakini inachosha kusoma Unge fupisha Watu mambo mengi
  9. Jane Msowoya

    Unajua somo hili katika mafanikio?

    No.8 sikubaliani na wewe Ukisoma vitabu vingi vya biashara ile deep wanazungumzia madhara ya madeni na kutokulipa kwa wakati unless mambo yaende ndivyo sivyo Kasome Kitabu The Total Money Makeover kimeandikwa na Dave Ramsey. Ni mmoja wa waandishi maarufu sana kwenye maswala ya usimamizi wa...
  10. Jane Msowoya

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Kuna muda kwenye biashara zinakata steam ya mambo mengine mengine Au maumivu ya mahusiano yaliyopita ukayaleta kwa mapya Na kukosa pesa pia
  11. Jane Msowoya

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Kama sio mfanya biashara basi bado anamaumivu na mahusiano ya nyuma Umejaribu kumpa ela??
  12. Jane Msowoya

    Ninatafuta mwanaume mmoja aliyejaa upendo na ukarimu kutoka kwa Mungu, atakayekubali kuwa kaka yangu

    Ushauri wangu Kwenye circle yako tafuta mmoja awe kaka Huku watakubali ila mwishowe akikuona pisi atakutafuna
  13. Jane Msowoya

    Madada wa JF mnaolewa lini mbona hakuna mwaliko wa harusi ama ndio kimya kimya kama za mkeka?

    JF imenifanya kuwa mwanamke haswaa Nimejiunga JF Tangu primary Kuna mambo mengi sana JF imenifundisha
  14. Jane Msowoya

    Kwanini wapika keki wasajiliwe na BASATA?

    Si ndo wale wanalipa 20k per yr
Back
Top Bottom