Nikiwa kama mjasiliamali mwenze uzoefu WA karibu nusu ya maisha yangu nakushauri usikope USIKOPE USIKOPE USIKOPE
Kwa mshahara wako wa 500k na kwa umri wako hutakiwi kukimbilia huko, two yrs kazini bado mchanga Sana presha za marafiki zisikushawishi
Huo mkopo WA 20m utakatwa let's say 300k kwa...
Hapana, aliweka bond kwa wajukuu zake
Mfano
Kuna siku bint yangu WA 6yrs katoka nje getini anamwambia jirani nipeleke sehemu A kwa babu yangu Mzee B, jirani akaanza kum challenge kuwa utapotea anamwambia hapana wewe nipeleke Tu sehemu A halafu Mimi ntafika kwa babu yangu
Hapo ni umbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.