Recent content by Jane Msowoya

  1. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi wateja kuuziwa vifungashio baada ya kununua bidhaa tena za pesa kubwa tu?

    Mi nakupa kifungashio Bure ila kinakuwa hivi
  2. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Tuanzishe MaJukwaa Mapya 10 Yenye Impact Kutatua Changamoto za Wana JF na Jamii?. Wana JF Wenye Uwezo Tuwasaidie Wenzetu Nao WaWin au?

    Hapana Am in early 30 Nilikuwa natabia ya kubadili ID 😆😆😆 Hii ID yangu ya tano
  3. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Tuanzishe MaJukwaa Mapya 10 Yenye Impact Kutatua Changamoto za Wana JF na Jamii?. Wana JF Wenye Uwezo Tuwasaidie Wenzetu Nao WaWin au?

    Mkuu Heshima yako Nimekumbuka ule mtanange wako na Faiza Foxy 😆😆😆 Pamoja na yote wanayokubeza watu humu hujawahi kukimbia Mimi nimejiunga JF when I was 14yrs Nina mengi yaliyoninufaisha JF nikiri tu JF ya sasa si kama ile ya zamani yenye mijadala mizuri nadhani ni hili ongezeko la mitandao...
  4. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

    Zamani vile watu walivyo kuwa wanalalamika kuwa kwenye vikao vya familia wenye hela ndo wanasikilizwa nilikuwa naona imekaa vibaya kweli lakini kwa jinsi nilivyo experience jinsi kutengeneza pisa kulivyo kugumu acha tu wenye pesa wapewe special seat
  5. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania ☕ Chitchat Meeting Point: Kituo cha Kimataifa cha kupiga soga

    Naweka kituo hapa naweza ambulia Chochote
  6. Jane Msowoya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Aliyefufua huu Uzi alaaniwe
  7. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    1.coco beach 2. Nakupenda Africa
  8. Jane Msowoya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka Mwanume wa kunihudumia Na Mimi Nimpe Penzi, Amani na Heshima

    Ukipata wawili naomba mmoja kipenzi
  9. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    Maybe huna hela tu mkuu mbona machimbo yapo mengi sana mjini hapa Jana tu nilikuwa sehemu moja matata sana hapa hapa mjini Sema budget yako
  10. Jane Msowoya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unakutana na ugumu kuanzisha mahusiano kwa sababu hauna hela au status?

    Ningetaka kushanga neno Single mother lisitajwe😔😔😔
  11. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Nenda na ile formula ya spend less save more Ukiweza kujibana ukapata 1m ukatafuta sehemu nzuri center ukafungua genge (sio duka la mangi) genge kama genge ila classy Unauhakika wakulaza 10k faida na uwezekano wakuongezeka ni mkubwa sana Muhimu tu umuone Mshana mapema
  12. Jane Msowoya

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu baada ya miaka 37!

    Pole sana mkuu lakini bado hujachelewa Halafu uzuri umejiona haupo normal umewahi kuomba ushauri
Back
Top Bottom