Recent content by janath mabruck

  1. janath mabruck

    Msaada was kuku aina ya kuroiler

    Mwenye hao kuku naitaji please mwenye nao ataje na bei anayouza nipo Mwanza
  2. janath mabruck

    Kilimo cha mbaazi, natafuta mbegu

    Jaman hakuna mwenye taarifa
  3. janath mabruck

    Kwa nini watu wengi ni Maskini?

    Alimaanisha tuna rasilimali lakin hatujui kuzitumia mfano tuna madini vyanzo vya maji kama bahari ,maziwa mabwawa ambayo kutokana nayo tunaweza Fanya shughuli kama kilimo ufugaji nk lakini watanzania nilichogundua tunataka shughuli za kupata pesa harakaharaka mfano MTU anaweza kuwa anaishi...
  4. janath mabruck

    Nahitaji kuku wa kienyeji aina ya Kuroiler

    Dah jamaaa nae kujibu anachukua muda mrefu
  5. janath mabruck

    Nahitaji kuku wa kienyeji aina ya Kuroiler

    Wakubwa siwezi kupata mkuu makaptula
  6. janath mabruck

    Kilimo cha mbaazi, natafuta mbegu

    Habar wana jamvi naweza pata wapi mbegu bora za mbaazi zinazoweza kustawi vizur kanda ya ziwa natanguliza shukran
  7. janath mabruck

    Bill Gates kusaidia watu kufuga kuku Afrika

    Nauliza hao kuku ni wakienyeji au wakisasa anaotaka kusaidia
  8. janath mabruck

    Nahitaji kuku wa kienyeji aina ya Kuroiler

    Wakubwa wanakuwa na kilo ngapi na wanauwezo wa kutaga had I mayai mangapi mkuu
  9. janath mabruck

    Help help plz

    What verb should l use after the word always
  10. janath mabruck

    Nahitaji kuku wa kienyeji aina ya Kuroiler

    Sasa ngoja tusubir
  11. janath mabruck

    Nahitaji kuku wa kienyeji aina ya Kuroiler

    Jogoo kichaaa hao kuku wana sifa gani ambayo ni tofauti na kuku wengine
  12. janath mabruck

    Msaada: Mwalimu mwenye cetificate akijiendeleza mpaka degree, je mshahara utaongezeka?

    Sasa mkuu kwa hiyo kwa mfano ukimaliza kusoma degree je kama ukikuta unapanda kwenda daraja D je watakurusha daraja lingine au utapanda D na wenzako japo wana certificate
  13. janath mabruck

    Msaada: Mwalimu mwenye cetificate akijiendeleza mpaka degree, je mshahara utaongezeka?

    Nimekuelewa balimar kumbe kujiendeleza kuna advantage kwa hapo baadae
  14. janath mabruck

    Bill Gates kusaidia watu kufuga kuku Afrika

    Hao kuku was kienyeji au was kisasa
Back
Top Bottom