Recent content by jamzai

  1. J

    Uchaguzi wa Kenya kaa la moto kwa Chadema

    Daaa kama ulitumia muda ukawaza na kuamua kuandika hiki ulichoandika basi akili yako ni mzigo. Sasa chadema au Lowassa angeenda kufanya nin wakati hakukuwa na aina yoyote ya KAMPENI
  2. J

    Gwajima ni 'Threat to National Security', Mamlaka husika zimdhibiti

    Wanaomchokoza pia wana sehemu za kuzungumzia. Diamond katumia sehemu yake( muziki) kumtaja Gwajima. Kwa kuwa Gwajima hafanyi bongo flavour na yeye katumia uwanja wake kumjibu. Tatizo lipo wapi?
  3. J

    Maadui wa Paul Makonda watofautiana

    Umetumia muda mwingi kuandika utumbo tu. Hivi kuna haja gani ya kutumia nguvu kubwa kumkingia mtu kifua wakati ni kazi rahisi. Watu wakisema huna vyeti kuwakata kauli ni kutoa vyeti maneno mengi ya nini.
  4. J

    Brother Nape, kauli zako zimenihuzunisha sana

    Ni maneno tu ambayo mara nyingi hayana uhalisia ni sawa na kumwambia mtu aliyefiwa na baba yake kwamba Mungu kampenda baba yako huna sababu ya kulia wala kuhudhunika. Hivi kwa akili yako unadhan we una umuhimu na uzito sawa na Nape au kinana ndani ya chama.
  5. J

    Bunge la Budget 2017/2018

    Hata mim sioni umuhimu wa bunge kama walipitisha bajeti ya mishahara kwa watumishi wa umma na mpka leo hakuna kilichoongezeka kuna haja gani ya kukaa bunge la bajeti.
  6. J

    Msaada WA pc aina ya Dell

    Fn + f6(wife button) then nenda kaclick switch on wireless.
  7. J

    Bodi ya mikopo yakamilisha uchambuzi wa maombi ya mikopo, 20,183 wapata kati ya 88,163 walioomba

    Ungeingia kwanza kwenye website ya bodi kabla ya kuja na povu lako hapa. Hii habari na takwimu zipo kwenye website ya bodi sasa chadema wanahusikaje. Kiazi kweli wew.
  8. J

    Vita ya Lema na Wateule wa Rais yafika pabaya

    Povu linakutoka na muhemko yako ya kisiasa. We umeona lema tu ndyo ana matatizo ila alichokifanya gambo umeona sawa tu. Arusha usije kimkakati utafeli. Lema kachaguliwa na wananchi wa Arusha walimuamin na bado wanamuamini na sidhani kama wananchi wa Arusha wanaweza kumchagua mtu asiye na akili...
  9. J

    Walichofanya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu sio haki!

    Watu wana haki ya kupata wasiwasi muda wa kutoa mikopo serikali inakuja na vigezo kibao. Hivi vigezo walipaswa kuvitoa mwanzoni ili watu wajue waombe au wasiombe. Katika mazingira haya lazima watu wastuke
  10. J

    Uliza chochote kuhusu Mount meru university (MMU) Main campus

    Chuo kipo Arusha maeneo ya Ngaramtoni. Kina walimu wazuri ambao wapo competent kwenye ufundishaji. Mitihani yao ni ya kawaida ambayo inapima understanding capacity maswali ya kuchagua True and False matching items hayo hakuna. Chuo ni cha dini kipo under baptist.
  11. J

    Uliza chochote kuhusu Mount meru university (MMU) Main campus

    Kama umeomba Mount meru university (main campus) au unatamani kujua lolote kuhusu chuo hiki uliza ntakujibu
  12. J

    Ukweli kuhusu Wakuu Wa Shule za Sekondari Walioshushwa Vyeo-Arusha

    Inauma sana kinachoonekana sasa hivi kila mtu ofisini kwake anaomba wa chini yake akosee ili aite waandishi wa habari. Hakuna malaika chini ya hili jua. Na kwa jambo hili CWT ndiyo imenishangaza zaidi juu ya tamko lao la jana lililotolewa na katibu mkuu ndg Olochi ya kuitaka serikali iwachukulie...
  13. J

    Wanafunzi wa Stashahda ya ualimu masomo ya Sayansi, Hesabu na Teknolojia UDOM warudishwa nyumbani

    Ni maandalizi tu kwani walimu wanaofundisha advance si ni form six na wanafundisha form six wenzao kilichoongeza ni taaluma ya chuo. Tuongee ukweli kuna walimu wangapi wanaofundisha advance wenye div 1 ya form six. Hata hawa wangeandaliwa vizuri kwa muda wa miaka 3 wangekuwa vzuri tu. Huu ni...
  14. J

    Wanafunzi wa Stashahda ya ualimu masomo ya Sayansi, Hesabu na Teknolojia UDOM warudishwa nyumbani

    Inasikitisha sana. Fikiria mtoto aliyetoka Mara, Bukoba, lindi anaondokaje kwa style hiyo. Inafikia wakati tuukemee huu ubabe usiokuwa na tija
Back
Top Bottom