Recent content by jamshidamri

  1. J

    Vodacom washitakiwe jamani

    Hivi yule jamaa aliyekuwa anawashtaki Voda aliishia wapi maana sasa hizi bando tunaibiwa sio mchezo. Hivi unawezaje kuuza mabando umeandika siku nzima, baada ya kununua meseji inakuja inasema bando linaisha saa kumi jioni. Baada ya masaa 24 umetumia masaa 6 bando nimenunua saa nne asubuhi...
  2. J

    Ni wangapi wanakumbuka jina la mwalimu wa darasa la kwanza?

    Mwalimu Kanyambo pale changombe primary school...hata vidudu alikuwa mwalimu Joyce mungu awape maisha marefu kama wako hai.... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. J

    Ni wangapi wanakumbuka jina la mwalimu wa darasa la kwanza?

    Zamani darasa la kwanza unaweza kuta mna walimu wasiozidi watatu....shule nyingi alikuwa mwalimu mmoja mmoja...ndomaana tunakumbuka Sent using Jamii Forums mobile app
  4. J

    Ni wangapi wanakumbuka jina la mwalimu wa darasa la kwanza?

    Hahaha huyo chunguza vizuri kama anajuana na baba yako Sent using Jamii Forums mobile app
  5. J

    Mwanamke Mrembo Mtaani na Kituko Kitandani!

    Sijaona sababu za mtu kuoa wala kuolewa kama kuna masharti kwenye tendo....mda wowote mwanaume akitaka lazima apewe...ndo maana kaoa...ulipochukua mahali ulikubali hilo... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. J

    Msaada: Natafuta Campden tablets zinazotumika kutengenezea mvinyo(wine)

    Jamani natafuta maduka yanayoweza kuuza ingredients za kutengeneza wine. Kwa kifupi kuna ingredient naitafuta inaitwa CAMPDEN. Nimeshasumbua kichwa kutafuta mpaka nimechoka. Msaada tafadhali
  7. J

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    bro mi naisubiri hii kwa hamu nimesha anza fanya uchunguzi kwenye net...ikianza tunaomba utujulishe mkuu
  8. J

    Uteuzi wa Jokate Mwegelo kuwa Kaimu Katibu wa Uhamasishaji waivuruga UVCCM

    dah kweli lazima uone ana uwezo kwa kingereza hiki unagombania ubunge wa east Africa...wonders shall never end...
  9. J

    Samahan sana diamond na WCB Kwa ujumla

    nilikuwa nampenda sana dai ila niliposkiliza interview yake dhidi ya ommydimpoz nilimdhalau sana ukilinganisha na mwenzake alivyosema....dai anajua nguvu ya media hakupaswa kuongea maneno ya kanga...
  10. J

    Lijue soko la HISA

    jamani kuna hizi index naomba anaejua zinatumika vipi anijuze maana nimejaribu kizifatilia mara ziwe negative mara postive ila sioni nini kinachozibadilisha plz naomba mtu anijulishe
  11. J

    Natafuta dagaa wakukaangwa

    duh 50000 mbona niko musoma hiyo bei iko juu sana...
  12. J

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu Hisa

    ahsante mkuu...vp kuhusu hizi ipo mpya wanazinadi km ni mtaji wa viwanda...si inatakiwa kwanza kiwanda kiwepo then kiongeze mtaji...au kinaweza kuomba mtaji wakati kiwanda hakuna
Back
Top Bottom