Usipoheshimu ni ngumu kuheshimiwa. Kitendo cha mkuu kumkumbatia aliyefoji na kuwadharau walio sotea elimu inajenga chuki kwa walio wengi bila kujali itikadi zao, sema wengine wanasema wengine wanaumia moyoni. Huo ndio ukweli
Wewe hauhitaji haushauri? kama nawewe unakulaga tigo kwann wenzio wakipewa unune? acha roho mbaya. Ungetaka asitoe nje, ungemuoa sasa unadhani huko alipo yeye hapati nyege. labda kwa kasoro nyingine ila hiyo ya kuwa na upendo kwa wanaume wenzio sio kosa kwa maana Mungu hajawaunganisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.