Kufuatia vita iliyoibuka kati ya Iran, Marekani na Israeli kumeibuka video mbalimbali kuhusu mashambulizi yaliyofanyika huko lakini nyingine si halisi bali zimetengenezwa kwa kutumia Teknolojia ya Akili Unde (AI).
JamiiCheck imepitia machapisho na tafiti za afya na kubaini kuwa hakuna uthibitisho wa moja kwa moja kuwa kunywa mkojo wa binadamu una faida kiafya.
Tovuti ya UPMC health inabainisha kuwa hakuna ushahidi wa kisayansi unaothibitisha kuwa kunywa au kutumia mkojo kwa namna yoyote kuwa una manufaa...
Mkuu wa Idara ya Uhakiki na Uthibitishaji wa Taarifa kutoka JamiiAfrica, Innocent Mangu anafafanua umuhimu wa Elimu ya Uthibitishaji Taarifa pamoja na upatikanaji wa Taarifa Sahihi kuwa chachu ya kuzuia usambaaji wa Taarifa Potofu.
Habari mkuu! Kama una picha au video halisi kutoka chanzo cha awali, unaweza kuangalia taarifa zilizofichwa (metadata).
Unaweza kubaini picha iliyotengenezwa au kuhaririwa kwa 'Photoshop' kupitia uchambuzi wa metadata. Metadata wakati mwingine inaweza kuonesha kama programu za kitaalamu za...
Mdau katika jukwaa la Kilimo, Ufugaji na Uvuvi amehoji kama ni kweli chokaa inachangia ubora na ufanisi wa mbolea katika kilimo cha ndizi?
"Nilikiwa kwenye Mkoa wa Kagera ambapo kuna mwenendo unaoongezeka wa wakulima wa ndizi kutumia chokaa katika mashamba yao. Wakulima hao wanadai kuwa...
Baada ya Januar 03, 2026 Rais wa Marekani Donal Trump kutangaza kuwa vikosi vya jeshi lake vimemkamata Rais wa Venezuela Nicolous Maduro kumeibuka picha na video nyingi kuuhusu Rais huyo akiwa anakamatwa ama akiwa katika mikono ya wanajeshi wa Marekani.
Mdau
Je, unaweza kubainisha dosari zinazoonekana katika video hii na kuelezwa kuwa ni mashambulizi ya 'drones' yaliyofanywa na Ukraine katika makazi ya Rais wa Urusi Vladmir Putin. Inaelezwa kuwa picha mjengeo hizo zimetokana na CCTV Camera.
Unaweza kutumia nyenzo za kidigitali ama uwezo wako...
Video imeripotiwa kuwa ni tukio lililotokea nchini Indonesia baada ya mafuriko makubwa ambapo tembo anaonekana akimuokoa Chui kutoka kwenye mafuriko hayo kitendo kilichovutia watu wengi.
Je, video hii ni halisi au imetengenezwa?
Tumia nyenzo za kidigitali kubaini eneo halisi iliporekodiwa video hii. Je, ni kweli imerekodiwa Uyole mkoani Mbeya kama ilivyodaiwa na mtumiaji mmoja wamtandao wa Instagram? anasema "Leo Mapema Uyole Fashion Week Hapa Igawilo"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.