Recent content by JamiiCheck

  1. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Ndoto, je viumbe wengine pia huota ndoto wasinziapo?

    Je, viumbe wengine pia huota ndoto? Ufuatiliaji wa JamiiCheck kupitia machapisho na tafiti kuhusu wanyama imebaini kuwa ni kweli kuwa wanyama pia huota ndoto kama ilivyo kwa binadamu. Watafiti wamebaini kuwa baadhi ya wanyama wanapitia hali ya Rapid Eye Movement wawapo usingizini hali ambayo...
  2. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Tatizo la wingi wa damu

    Kuwa na damu nyingi kupita kiasi kitaalamu ni tatizo la kiafya na linahitaji uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa ili kuzuia madhara makubwa ya kiafya. Judith Chale, Msimamizi wa Huduma za Wachangiaji Damu, Mpango wa Taifa wa Damu Salama anatoa ufafanuzi wa kitaalamu kuhusu jambo hili...
  3. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Andre Stander, Polisi aliyeziibia benki na kusimamia kesi hizo kama mpelelezi

    Mwishoni mwa miaka ya 1970, afisa wa polisi wa Johannesburg, Andre Stander, aliacha kuheshimu sheria alizoapa kuzisimamia na akaanza kupora benki. Baadaye alikuja kuwa mmoja wa majambazi wa benki waliotajwa sana katika historia ya Afrika Kusini. Stander, aliyekuwa kapteni wa polisi aliyebobea...
  4. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kuhusu déjà vu

    Umewahi kuwa na hisia za kufanya jambo fulani, kutamka maneno, kufika sehemu fulani au kupitia hali mpya ambayo unadhani tayari umewahi kuwa nayo hapo awali? Huwa una hisia kwamba baadhi ya mambo yanayokwenda kutoea huko mbele tayari unayafahamu? Hisia hizo mara nyingi hufafanuliwa kama Déjà...
  5. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania KWELI Inashauriwa kumtahiri mtoto kati ya siku za mwanzoni hadi wiki ya 8 baada ya kuzaliwa

    Je, Tohara hupunguza ukubwa wa uume? Uhalisia: Si kweli Tofauti na jinsi ambavyo watu wengi huamini, tohara haiwezi kudumaza afya ya sehemu za siri za mwanamme hata kama itafanyika kwa mtoto mchanga. Soma zaidi hapa ufuatiliaji wa JamiiCheck pia. Ukuaji wa viungo vyote vinavyounda mwili wa...
  6. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Kijue kisa cha mlevi aliyeiba ndege na kwenda kuipaki Baa

    Thomas Fitzpatrick anakumbukwa kwa kitendo chake cha kuiba ndege akiwa amelewa mara mbili na kisha kwenda kutua katika maeneo ya baa alipokuwa akinywa pombe, kukiwa na barabara nyembamba tena gizani. Kwa mara ya kwanza Thomas akiwa na miaka 26, aliiba ndege aina ya Cessna 140 yenye injini moja...
  7. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania LIBERIA 1980: Picha hizi zinatia huruma sana, waafrika tu wanyama! Why all this?

    Kijana wa miaka 29 aliushangaza ulimwengu kwa kitendo cha kikatili kisichokuwa na chembe ya utu. Inadaiwa baada ya kumpindua na kumuua Rais aliyekuwa madarakani William Tolbert, Samuel Doe alihakikisha anamaliza mizizi ya mtangulizi wake kwa kuua viongozi wote waandamizi. Inadaiwa Aprili 22...
  8. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Nyani Aliyekuwa Mtumishi wa Reli huko Afrika Kusini Miaka ya 1880's

    Je, ni kweli kuwa kulikuwa na nyani nchini Afrika Kusini aliyetumika kama mfanyakazi wa reli? JamiiCheck imefuatilia na kujiridhisha kuwa madai hayo ni ya kweli na yaechapishwa katika machapisho mbalimbali ya kihistoria. Nyani huyo alifahamika kwa jina la Jack. Baadhi ya vyanzo vilivyochapisha...
  9. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Muuguzi aliyepona ajali tatu za meli ikiwemo titanic

    Violet Jessop alizaliwa nchini Argentina na wazazi waliohamia kutoka Ireland. Akiwa mtoto, aliumwa ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) na madaktari walitabiri angeishi kwa miezi michache tu, lakini alipona kimuujiza. Baada ya kifo cha baba yake, familia yao ilirudi Uingereza. Mama yake alifanya kazi...
  10. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    Je, kunyonya vidole kwa mtoto ni hali ya kawaida? Tovuti ya Hopekins medicine kupitia makala yake yenye kichwa “Finger sucking in children” wanabainisha kuwa watoto huzaliwa na uwezo wa wachanga huzaliwa na uwezo wa asili wa kutafuta na kunyonya, wakati mwingine hata kabla ya kuzaliwa. Watoto...
  11. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka: Maigizo ya Bi Samia Suluhu Hassan na wafungwa wavaa heleni, gereza la UKONGA🤪🤪😁

    JamiiCheck imefuatilia na kujiridhisha kuwa picha hii si halisi bali imehaririwa kwa Akili Unde. Zaidi soma: POTOSHI Je, picha hii ya mfungwa aliyevaa hereni kutoka gereza la UKONGA ni halisi?
  12. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Je, mtoto anaweza kurithi ugonjwa wa Hydrocephalus kupitia wazazi wake?

    Ugonjwa wa kichwa kikubwa/Kujaa maji (Hydrocephalus) Huu ni mkusanyiko usio wa kawaida wa maji ndani ya ubongo. Neno Hydrocephalus linatokana na maneno ya Kigiriki: "hydro" ikiwa na maana ya maji, na "cephalus" ikiwa na maana ya kichwa. Zamani hali hii iliitwa "maji kichwani." Hata hivyo...
  13. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Kwanini tairi za gari ni nyeusi?

    Tairi hutengenezwa kwa mpira unaozalisha rangi nyeupe, inayofanana na ile ya maziwa. Hapo mwanzo, masizi yaliongezwa kwenye mchanganyiko wa mpira ili kusaidia kuimarisha mchanganyiko huo wa kikemia, kwani yaliongozwa na kaboni ambayo ilifanya tairi kuwa nyeusi. Hata hivyo, kadiri muda...
  14. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Mke wangu mjamzito, kila baada ya kula amekuwa anahisi kichefuchefu na pengine kutapika. Nifanyaje?

    Kwa mujibu wa tovuti ya Cleverland Clinic, Kichefuchefu ni hali ya kawaida inayowaathiri karibu asilimia 70 ya wanawake wajawazito, hasa katika kipindi cha kwanza cha ujauzito (miezi mitatu ya kwanza), ambapo huleta kichefuchefu na kutapika wakati wowote wa mchana au usiku. Ingawa hali hii...
Back
Top Bottom