Recent content by JamiiCheck

  1. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania KWELI Mimba inaweza kuleta kisukari? Hata kama hujawahi kuwa na ugonjwa huo kabla?

    Kisukari cha mimba (Gestational diabetes - GD au GDM) ni aina ya kisukari kinachotokea wakati wa ujauzito, ambapo kiwango cha sukari kwenye damu hupanda kupita kiasi (hyperglycemia). Hali hii hutokea pale homoni zinazozalishwa na kondo la nyuma (placenta) zinapoathiri uwezo wa mwili kutumia au...
  2. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje unampa mimba mwanamke, ila Kichefuchefu, Uchovu na usingizi anapata mwanaume?. Sayansi inaweza kuelezea hili?.

    Habari Mkuu Mwaka wa Mbele Jambo hili lina ukweli. Huitwa Couvade Syndrome au Sympathetic Pregnancy. Hali hii huwafanya wanaume wapate dalili za ujauzito kama vile kutapika, homa za asubuhi, kiungulia, kichefuchefu pamoja na kukosa usingizi. Sababu za kutokea kwa hali hii huwa hazipo wazi...
  3. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Ni upi uhalisia wa video hii iliyodaiwa kuw ni ya Rais Trump akisimulia namna Rais Macron alivyopigwa na mkewe?

    Bila shaka umewahi kukutana na video hii iliyodaiwa kuwa Rais Trump alikuwa akisimulia jinsi Rais wa Ufaransa alipigwa na mkewe. Lakini je, uhalisia ni upi? Video hiyo inapotosha kwa kukatwa baadhi ya sehemu muhimu na hivyo kubadili ujumbe halisi. Trump hakuwa anamzungumzia Rais Macron na...
  4. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Father Kitima amstukia Dkt. Nchimbi

    Video inapotosha uhalisia kwani imetumiwa katika muktadha tofauti na uhalisia wake. Ufuatiliaji wa JamiiCheck umejiridhisha video hiyo si ya mwaka 2026 bali ilikuwa ni mahojiano ya Mwezi Disemba 01, 2025 aliyofanya Padre Kitima na Jambo TV ambayo pia yalichapishwa katika chaneli ya TEC YouTube...
  5. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Jinsi watu walivyongo'oa minazi wakiamini kuwa ni chanzo cha mabusha. Wewe umewahi kushuhudia madhara gani ya taarifa potoshi?

    Umewahi kushuhudia madhara gani yaliyotokana na Taarifa Potofu? Kisa cha Watu waliong’oa minazi wakiogopa kupata mabusha. Mdau wa JamiiCheck kupitia ukurasa wa Instagram anaeleza kuwa kutokana na taarifa kuwa maji ya madafu yanasababisha mabusha, watu wa kijijini kwao waliogopa kutumia nazi...
  6. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Tumia tafiti sahihi kupata uhalisia, epuka kupotoshwa

    Utafiti ni mojawapo ya vyanzo muhimu vya taarifa, lakini si kila utafiti unaochapishwa ni sahihi au unawakilisha ukweli. Kabla ya kuamini hitimisho la utafiti wowote, hakikisha umetathminiwa kwa kina. Mfano mzuri ni utafiti uliochapishwa mwaka 1998 katika jarida la The Lancet uliodai kuwa...
  7. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania KWELI Karoti ni nzuri kwa afya ya macho, lakini haiongezi uoni kuzidi kawaida unapokuwa gizani (Usiku)

    Msemo huu kuwa ulaji wa Karoti unaongeza uoni wakati wa usiku uekuwa maarfu sana miongoni mwa watu lakini je uhalisia ni upi? Makala iliyochapishwa na Medical News Today inataja faida mbalimali zitokanaz0 na ulaji wa karoti kutokana na wingi wa virutubisho ilivyo navyo. “Karoti zina vitamini...
  8. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Dhana zinazohusu radi na uhalisia wake

    Hiyo ipo mkuu ilishafanyiwa kazi na uhalisia ni kuwa hakuna uhusiano wa kuvaa nguo nyekundu na kupigwa radi. Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/threads/kuvaa-nguo-nyekundu-kunasababisha-kupigwa-na-radi.2013718/ CC TADPOLE Psalm 103 TAI DUME
  9. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Dhana zinazohusu radi na uhalisia wake

    Kumekuwapo na madai mengi kuhusu radi ambayo mengine si ya kweli, yafuatayo ni madai 10 pamoja na uhalisia wake. Dhana Potofu 1: Radi haipigi sehemu ileile mara mbili. Uhalisia: Radi inaweza kupiga sehemu ileile mara nyingi, hasa ikiwa ni eneo lenye kitu kirefu, chenye ncha kali na...
  10. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kwamba kitovu kikidondokea maumbile ya mtoto husababisha apate changamoto za uzazi baadaye?

    Madai ya kitovu kufanya uume usisimane Madai haya yamekuwepo kwa miaka mingi. Mathalani, blog moja imewahi kuchapisha makala inayohusu suala hili mwaka 2012. Kwenye Jukwaa la JamiiForums, mada hii imeanza kujadiliwa kabla ya mwaka huo. Mei 20, 2008, mtumiaji mmoja wa jukwaa hili aliweka andiko...
  11. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli binadamu tunatumia asilimia 10 ya uwezo wa ubongo, na nini kitatokea kama tutatumia asilimia 100 ya uwezo huo?

    Binadamu tunatumia asilimia 10 tu za ubongo wetu? Kwa mujibu wa Idara ya Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu (Neurology) katika Chuo cha Tiba cha UAMS, watu wasiokuwa na matatizo ya mfumo wa fahamu hutumia karibu ubongo wao wote. Ubongo huwa na shughuli muda wote, ukidhibiti kazi za mwili zinazofanyika...
  12. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania KWELI Je, ni kweli kuna Nyoka wasio na sumu?

  13. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Kutokwa na damu puani kunasababishwa na nini? Na tiba mbadala ni ipi?

    Dkt Bernard Kivuma kutoka Ifakara Mkoani Morogoro anaeleza kuwa kutokwa na damu puani (kitaalam epistaxis) kunaweza kusababishwa na sababu mbalimbali kama majeraha ya pua, kukauka ndani ya pua (dry mucus membrane), kujikuna au kuingiza kitu puani, kupiga chafya au kupenga pua kwa nguvu...
  14. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania KWELI Mdau anauliza kuhusu vidonge vya kupunguza unene je, kuna uwezekano wa utapeli?

    Kupitia ukurasa wa JamiiCheck kwenye mtandao wa Instagram mdau ameshukuru kwa elimu kuhusu dawa za meno, lakini pia ametaka kufamu kuhusu vidonge vinavyotajwa kupunguza unene, je kuna utapeli au vinafanya kazi kweli?
  15. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, Prince Charles (ambaye ni mfalme sasa) alikuja Tanzania 1970?

    Habari. Rejea kusoma tena mkuu, sababu zimeanishwa.
Back
Top Bottom