Je, viumbe wengine pia huota ndoto?
Ufuatiliaji wa JamiiCheck kupitia machapisho na tafiti kuhusu wanyama imebaini kuwa ni kweli kuwa wanyama pia huota ndoto kama ilivyo kwa binadamu. Watafiti wamebaini kuwa baadhi ya wanyama wanapitia hali ya Rapid Eye Movement wawapo usingizini hali ambayo...
Kuwa na damu nyingi kupita kiasi kitaalamu ni tatizo la kiafya na linahitaji uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa ili kuzuia madhara makubwa ya kiafya.
Judith Chale, Msimamizi wa Huduma za Wachangiaji Damu, Mpango wa Taifa wa Damu Salama anatoa ufafanuzi wa kitaalamu kuhusu jambo hili...
Mwishoni mwa miaka ya 1970, afisa wa polisi wa Johannesburg, Andre Stander, aliacha kuheshimu sheria alizoapa kuzisimamia na akaanza kupora benki.
Baadaye alikuja kuwa mmoja wa majambazi wa benki waliotajwa sana katika historia ya Afrika Kusini. Stander, aliyekuwa kapteni wa polisi aliyebobea...
Umewahi kuwa na hisia za kufanya jambo fulani, kutamka maneno, kufika sehemu fulani au kupitia hali mpya ambayo unadhani tayari umewahi kuwa nayo hapo awali? Huwa una hisia kwamba baadhi ya mambo yanayokwenda kutoea huko mbele tayari unayafahamu?
Hisia hizo mara nyingi hufafanuliwa kama Déjà...
Je, Tohara hupunguza ukubwa wa uume?
Uhalisia: Si kweli
Tofauti na jinsi ambavyo watu wengi huamini, tohara haiwezi kudumaza afya ya sehemu za siri za mwanamme hata kama itafanyika kwa mtoto mchanga. Soma zaidi hapa ufuatiliaji wa JamiiCheck pia.
Ukuaji wa viungo vyote vinavyounda mwili wa...
Thomas Fitzpatrick anakumbukwa kwa kitendo chake cha kuiba ndege akiwa amelewa mara mbili na kisha kwenda kutua katika maeneo ya baa alipokuwa akinywa pombe, kukiwa na barabara nyembamba tena gizani.
Kwa mara ya kwanza Thomas akiwa na miaka 26, aliiba ndege aina ya Cessna 140 yenye injini moja...
Kijana wa miaka 29 aliushangaza ulimwengu kwa kitendo cha kikatili kisichokuwa na chembe ya utu. Inadaiwa baada ya kumpindua na kumuua Rais aliyekuwa madarakani William Tolbert, Samuel Doe alihakikisha anamaliza mizizi ya mtangulizi wake kwa kuua viongozi wote waandamizi.
Inadaiwa Aprili 22...
Je, ni kweli kuwa kulikuwa na nyani nchini Afrika Kusini aliyetumika kama mfanyakazi wa reli?
JamiiCheck imefuatilia na kujiridhisha kuwa madai hayo ni ya kweli na yaechapishwa katika machapisho mbalimbali ya kihistoria. Nyani huyo alifahamika kwa jina la Jack.
Baadhi ya vyanzo vilivyochapisha...
Violet Jessop alizaliwa nchini Argentina na wazazi waliohamia kutoka Ireland. Akiwa mtoto, aliumwa ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) na madaktari walitabiri angeishi kwa miezi michache tu, lakini alipona kimuujiza. Baada ya kifo cha baba yake, familia yao ilirudi Uingereza. Mama yake alifanya kazi...
Je, kunyonya vidole kwa mtoto ni hali ya kawaida?
Tovuti ya Hopekins medicine kupitia makala yake yenye kichwa “Finger sucking in children” wanabainisha kuwa watoto huzaliwa na uwezo wa wachanga huzaliwa na uwezo wa asili wa kutafuta na kunyonya, wakati mwingine hata kabla ya kuzaliwa.
Watoto...
JamiiCheck imefuatilia na kujiridhisha kuwa picha hii si halisi bali imehaririwa kwa Akili Unde.
Zaidi soma: POTOSHI Je, picha hii ya mfungwa aliyevaa hereni kutoka gereza la UKONGA ni halisi?
Ugonjwa wa kichwa kikubwa/Kujaa maji (Hydrocephalus) Huu ni mkusanyiko usio wa kawaida wa maji ndani ya ubongo. Neno Hydrocephalus linatokana na maneno ya Kigiriki: "hydro" ikiwa na maana ya maji, na "cephalus" ikiwa na maana ya kichwa. Zamani hali hii iliitwa "maji kichwani."
Hata hivyo...
Tairi hutengenezwa kwa mpira unaozalisha rangi nyeupe, inayofanana na ile ya maziwa. Hapo mwanzo, masizi yaliongezwa kwenye mchanganyiko wa mpira ili kusaidia kuimarisha mchanganyiko huo wa kikemia, kwani yaliongozwa na kaboni ambayo ilifanya tairi kuwa nyeusi. Hata hivyo, kadiri muda...
Kwa mujibu wa tovuti ya Cleverland Clinic, Kichefuchefu ni hali ya kawaida inayowaathiri karibu asilimia 70 ya wanawake wajawazito, hasa katika kipindi cha kwanza cha ujauzito (miezi mitatu ya kwanza), ambapo huleta kichefuchefu na kutapika wakati wowote wa mchana au usiku.
Ingawa hali hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.