Ni kweli bila njia hizo zisizo rasmi, huenda elimu ya ICT isingesambaa kwa kasi Afrika, lakini leo Kuna njia halali na bure za kujifunza, tunapaswa kuhamia kwenye matumizi ya open source ili kujitegemea kiteknolojia. “Hackers” walisaidia kwa njia isiyo rasmi, lakini hatuwezi kujenga mustakabali...
I am using a MacBook A1708 and have been experiencing an issue with its sleep and power functionality:
1. When I close the lid after using the MacBook for a while and reopen it, the screen stays black as if it’s off.
2. If I shut it down, close the lid, and reopen it, the MacBook...
Acha kupotosha jamii. Comment yako hii naona inakuelezea vizuri sana ww ni mtu wa namna gani… I bet wewe ni mmoja kati ya wale waa abudu mashetani. Mzee repent Mungu ni mwenye huruma.
Acha uwongo, Acha kupotosha Jamii kwakufanya ma binti zetu na dada zetu wafikiri wataweza kuja miliki five stars hotel kwa huwo mtaji unaousema eti "Ile kitu ya pale kati ni kiwanda na mtaji". Imagine ww ungekuwa mwanamke ungeweza tumia mtaji huwo unaouzungumzia na kumiliki FIVE STARS HOTEL, if...
Mzee hii siyo kweli acha kutupiga kamba. “We unapenda micharuko ?” Kama jibu hapana basi hakuna anapenda micharuko, kama jibu ni ndyo basi ukikuwa utapokuwa unataka kutulia utaacha micharuko nakurudi kwenye vitu tulivu. Ushauri wa bure achana na micharuko itakuwa mzee.
Mzee hizi mambo siyo kweli hizi taarifa za kwamba weusi tukigundua kitu sijui inakuaje kuaje hizi mambo hazipo, Wewe na familia yako Gundua kitu cha maana uone kama hujawa iconic Tz na Duniani kote. Shida ni kwamba tumekalia kufanya mambo yasiyo natija, vijana wanataka mafanikio ya chap chap...
Kama mikutano hii ni ya siri, ww umepata wapi hizi taarifa, au ww nawe ni mmoja kati ya wanaoshiriki kwenye mikutano hii. Na kama ni kweli unachozungumza basi tupe ushadi. Otherwise Acha ujinga wakutaka kuianzisha hiyo vita unayoitaja.
Wadadu ninaswala moja hapa linanitaziza kwel nilikuwa na mipango ya kuanza biashara yangu ndogo ambayo niliuwa nafikiria kufanya zaidi online(through social networks)
Nilikuwa nafiria kuanza kununua bidhaa kwa ALIBABA WHOLESALER kupitia mtandao lkn mpaka sasa nimefikia wakati naona imekuwa...
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 26 najishugulisha na Maswala ya IT zaidi, naningependa kufahamu au kupata elimu juu ya swala zima la uwekezaji kwenye hizi Saccos zetu hapa Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.