jay sam
New Member
- Apr 13, 2018
- 4
- 0
Wadadu ninaswala moja hapa linanitaziza kwel nilikuwa na mipango ya kuanza biashara yangu ndogo ambayo niliuwa nafikiria kufanya zaidi online(through social networks)
Nilikuwa nafiria kuanza kununua bidhaa kwa ALIBABA WHOLESALER kupitia mtandao lkn mpaka sasa nimefikia wakati naona imekuwa changamoto Kubwa sana maana njia zote ambazo nimekuwa nikizisikia si salama kufanyia manunuzi kwa ALIBABA ndyo akariba kila supplier niliyojaribu kuchat nao ndzo walizo pendekeza nitumie kufanya malipo.
Najaribu sana kuepuka utapeli, supplier krb wote wanapendeza nifanye malipo kwa njia hizi:
• Bitcoin Transfer
• Western Union
• CashApp
• Zelle Transfer
• Moneygram Transfer
Ningependa kupewa somo zaidi juu ya hzi njia za malipo hapo juu, na je njia ipi ya malipo ni secured kwangu kama mnunuzi zaidi ya nyinge.
Kwa mtu yyte mwenyewe elimu juu ya hili anaweza nifikia direct through 07855 79 224
Nilikuwa nafiria kuanza kununua bidhaa kwa ALIBABA WHOLESALER kupitia mtandao lkn mpaka sasa nimefikia wakati naona imekuwa changamoto Kubwa sana maana njia zote ambazo nimekuwa nikizisikia si salama kufanyia manunuzi kwa ALIBABA ndyo akariba kila supplier niliyojaribu kuchat nao ndzo walizo pendekeza nitumie kufanya malipo.
Najaribu sana kuepuka utapeli, supplier krb wote wanapendeza nifanye malipo kwa njia hizi:
• Bitcoin Transfer
• Western Union
• CashApp
• Zelle Transfer
• Moneygram Transfer
Ningependa kupewa somo zaidi juu ya hzi njia za malipo hapo juu, na je njia ipi ya malipo ni secured kwangu kama mnunuzi zaidi ya nyinge.
Kwa mtu yyte mwenyewe elimu juu ya hili anaweza nifikia direct through 07855 79 224