Recent content by James Ritu

  1. J

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya Ummy Mwalimu kukatwa "Tutapigia Upinzani Kura si CCM"

    Huogopi kutumia jina la mtunga vitabu? Watoto wake na wajukuu wapo.
  2. J

    JamiiForums Tanzania NISHAURI; Nianze na gari ipi wakuu?

    Chukua NISSAN WINGROAD watatumia mpaka wajukuu.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Gari zuri kati ya NISSAN X TRAIL na SUBARU FORESTER

    Chukua NISSAN WINGROAD watatumia mpaka wajukuu.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Bongo Fleva ya miaka ya 2000 mpaka 2009 hatuna deni nayo maana si kwa Wasanii hawa

    Kwa kweli una memory nzuri sana. Umekumbuka wote hao! Inaelekea darasani ulikuwa mkali sana. Enzi hizo miziki haikuwa imejaa matusi kama ya leo.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Ukifuatilia sana mambo ya dini, utabaini kuwa "Dini ni kwa ajili ya watoto"

    Kuna dini moja tu ya kweli duniani. Moja tu. Narudia, moja tu. Itafute kwa bidii k. ama unavyotafuta dhahabu. Kazi kwako. Chimba, chimba update hazi a. Mafanikio hayaji kirahisi.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa watu wana wazazi kweli?

    Unakuta mtu anapost thread yenye maudhui ya ukosefu wa maadili kabisa. Yaani inatia kinyaa hata kuisoma. Huwa najiuliza hivi baba yake au mama yake akisoma hayo mambo ya hovyo aliyoandika mwanaye atajisikiaje? Wengine wanalilia kupata mtoto na wengine wanasema nilizaa wa nini!
  7. J

    JamiiForums Tanzania Tusimtafute mchawi nani Turudi kwenye maboresho ya kanuni za mpila wetu.

    Mpila ndio nini?
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kiswahili kibovu

    Baadhi ya habari zinazoandikwa humu zinashangaza Sana. Hivi siku hizi kiswahili hakifundishwi mashuleni? Fikili badala ya fikiri, safili badala ya safiri, Dora badala ya Dola, mahali badala ya mahari nk. Kiswahili gani hicho?
  9. J

    JamiiForums Tanzania Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

    Tamaa mbele mauti nyuma.
Back
Top Bottom