Recent content by james omologano

  1. J

    Mwaka unakatika amejenga km 7 tu za barabara

    huyu jamaa ananikera xan kwanz anapenda kuwadharau viongoz waliopta et hapa kaz tu,kaz gan mbon hatuon au kujenga chato pekee ndo kaz yke kiukweli bora kila mkoa tujitegemee tuwe na rais wetu
  2. J

    Rais Magufuli leo Mwanza kuhusu ajira amesema uhakiki bado unaendelea, usitegemee ajira serikalini

    lazma tuajiriwe subra yavuta her ngoja kwanza hawa hewa waondolewe
  3. J

    Hii kauli ya Rais kuhusu Wahehe inanikera sana

    Lugha yake mh ni nzur tu pia inawatumiaji weng xan hapa nchini
  4. J

    Grading system ya mwaka huu sio haki

    ndo maan wanafunz walioko maxhulen xaiz wanakaza
  5. J

    Kwa anayekifahamu chuo cha kilimo Igurusi Mbeya

    Tunakifaham mnooo we karb xna shuka igurusi fuata bararaba ya kwenda utengule ata kwa mguu unafika kwa dk 10
  6. J

    Amefaulu ila hajapangiwa shule, anajiuliza afanyaje?

    aende prvte tu au asubr sec selection date 18 this month
Back
Top Bottom