Mwanangu tafuta PhD, then after that Post Doc, then publications, publications, publications, publications! Nadhani kwa uandishi wako nahisi bado mtoto mdogo (ki-umri, usinielewe vibaya) , the limit is the sky kama jina lako la hapa! WasemajeMkuu wakati ninatafuta credits wala sikuwa ninajia jamii forum, sibanduki hapa kwakuwa nimemaliza huko.
Kwa advance E sio kitu cha kitoto.duuh aisee huu ni uonevuuu xana wakubwa waeshimiwa wenye vitambi vyenu vya khela alufu three haziendi duuh iyo E ni kubwa
Mkuu yalitokwa kwa division acha ubishiiiiiiiii....me nmemalza huo mwaka na div one ya 10.....sasa GPA cjui ulizionea wap mheshimiwa2013 ilikua ya GPA bn
Hapana mkuu.....A~80-100
B~75-79
C~65-74
D~55-64
E~45-54
S~40-44
F~0-39.....hizo ndo grade walizotumia kwa form six mwaka huu.....
Hapa mkuu umekurupuka matokeo ya 2013 yapo kwenye divisionhaaaaa mbm matokeo ya form 4 2013 yalivo toka kwa gpa hamkulalamika sasa mama ndalichako kashatega mtengoo na kawanasa
ndo maan wanafunz walioko maxhulen xaiz wanakazasuala la ongezeko la max pia lilitumika kwa waliomaliza o'level mwaka jana
mfano;
00-34=f
35-44=d
45-64=c
65-74=b
75-100=a
ndivyo viwango vilivyotumika so sishangai kwa ongezeko la advance