Uko sahihi, nia yako ni njema. Lakini sidhani kama atasoma ulichokiandika hapa. Ningekushauri, uombe appointment ukamtembelee pale Chamwino. Niliwahi kuona kijana mmoja kwenye Tv alioneshwa anaendesha baiskeli kutoka Geita, kama sikosei. Walidai alikuwa ni mwanainchi aliyeguswa na Mh. Rais...
Inaelekea supu ya kijani waliyokunywesha pale Lumumba ilimekupoteza kumbukumbu? hakufukuzwa aliwajibika baada ya wagamba kumwibia pesa za watanzania. Akawajibika yeye. Kuwajibika sio lazima uwe umetenda wizi au kosa wewe. Unakumbuka mzee Ruksa aliwajibika alipokuwa waziri wa mambo ya ndani??? Na...
Halafu huku kwingine utaenda kulipia wewe? Mbona nyie mnaonaga pesa za mwanaume ni za kuchezea tu?? why?? Kodi alipe yeye, halafu umwambie mkafanyie kwingine, wapi? kichakani au?
Duh! nilisema umeme umerudi baada ya maadhimisho kuisha mchana huu! Nahisi kuna mtu anawaamru wafanye hivyo kila wanapoona, something goes beyond their expectations! hahaha... nimeelewa sasa hii serikali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.