Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

Ndio hivyo bwana, leeni tu maana kitanda hakizai haramu.
hahaha
uzuri ni kwamba wako wengi, mkemia mkuu si alisema 49%, ila ladiea mmezid, wanaume huwa tunacheat ila nyie mnacheat na kusingizia mimba mweer!!!
 
Duh hii inafanya wanaotaka kuoa kujifikiria sana maana wanawake wabongo hawatofautiani.
 
hahaha
uzuri ni kwamba wako wengi, mkemia mkuu si alisema 49%, ila ladiea mmezid, wanaume huwa tunacheat ila nyie mnacheat na kusingizia mimba mweer!!!
Nyie mnacheat na mnazaa au kuwatoa mimba, hakuna cha kuzidi wala kupungua.
 
Ha ha haaaaaa

Siasa tena, siasa ni habari nyingine maishani. Mimi sio mwanasiasa bali naandikaga kama mwanancholi tu na najifunza mengi. Ila napenda kupinga ambacho akina miguu wala kichwa nakutoa ukweli ninaohuona.
Kumbe huwa unazingua sindio
 
Nyie mnacheat na mnazaa au kuwatoa mimba, hakuna cha kuzidi wala kupungua.
teh teh
yeah but hatusingizii mtoto kwa mtu, at least huwa tunabeba mizigo yetu wenyewe, ila nyie mna tubambikia watoto mpaka tunakufa hatujui tunalea watoto ya watu mingine
 
Ni tabia yako ya kugawa uroda, sasa kwanini ukikubari kuolewa?
 
Huyo ni mwanaume anawachora tuu sasa nyie mmeingia kichwa chote ANGALIEN POSTS ZA NYUMA ALIZO POST
Hata maelezo yake hayana connection na feelings.
 
teh teh
yeah but hatusingizii mtoto kwa mtu, at least huwa tunabeba mizigo yetu wenyewe, ila nyie mna tubambikia watoto mpaka tunakufa hatujui tunalea watoto ya watu mingine
Kuna wenzenu wanamlilia Mungu wapate watoto na hawapati, shukuru Mungu we unapata hata wa kubambikiwa.
 
kwa asilimia kubwa wanawake wanapenda vitu vidogo vidogo ama vitu vya anasa tena kwa mteremko ama dezo dezo (bure) na ndipo vinapokuja kuwatokea puani kama huyu mhanga
Tamaa zoa huwa zinatoka kwa hawa watu
1- wauza urembo
2- wapaka rangi kucha na kusugua migu
3- wauza vyombo vya ndani
4- wauza mboga mboga mtaani
5- masonara
6- mafundi simu
7- wauza genge (soko dogo)
8- Bodaboda
ukiona mwanamke wako anamazoea na hawa watu Brother kuwa makini Kuliko navyo kueleza
Nakubaliana na wew kabisa...hivi viumbe ni ngumu kujua kinawaza nini na kinataka nini..
 
Kuna wenzenu wanamlilia Mungu wapate watoto na hawapati, shukuru Mungu we unapata hata wa kubambikiwa.
khaaa!
sidhani kama hao wanaomba mtoto wa kubambikiwa, ni bora mka adopt mtoto mnayejua si wenu ila hii ya kusaidiwa bila kujua ki ukweli Mungu awachome moto kwa hilo
 
Haya sasa, tulishasema mwanaume anaejielewa hawezi kuruhusu mke wake afanyiwe ule upuuzi na wale wale wahuni
 
Komaaaaaaa tena komaa nenda kaolewe na msafisha kucha
 
khaaa!
sidhani kama hao wanaomba mtoto wa kubambikiwa, ni bora mka adopt mtoto mnayejua si wenu ila hii ya kusaidiwa bila kujua ki ukweli Mungu awachome moto kwa hilo
Kuchomwa tutachomwa pamoja tu na wachepukaji wengine wote,waongo nk
 
Mwambie mumeo ukweli na utubu

Uamue kama utabaki na mumeo au mtengeneza kucha

Hapa ndipo swala la kuwaridhisha wapenzi/wanandoa linapokuja
 
Back
Top Bottom