Haya makampuni serikali hayajayazuia,huo mkwara nichanfa lamacho tu, wanataka kusafisha njia kuelekea uchaguzi mkuu kwani haya makampuni mm nimeanza kutajua 2009,yakwanza ilikuwa erollink nakuhusu kupigwa stop halina ukweli wowote kwani mpaka sasa tunavyoongea spanco wanaajiri watu,nakama...
Oa wapili,anaonekana ameshatendwa hivyo anajua machungu yakutendwa,isitoshe wazee wako wanamkubali hivyo utapata baraka zawazazi ktk ndoa yenu. Huyo wapili anayegimbeza housegirl atakuja kuwa mkali hata kwa nduguyo,
Hatuna tume huru ya uchaguzi, kuanzia mwenyekiti nawajumbe wote niwateule wa Rais hivyo nimakada wachama cha mspinduzi, kikubwa tupiganie katiba mpya itupatie tume huru yauchaguzi. Ccm ipo madarakani tu kwamatakwa yake tu lakini sio kwamatakwa yawananchi
Bila shaka haupo sawa,inamaana unafurahishwa namaisha wanayoishi wazee wako vijijini yakutokuwa hata nauhakika wamlo mmoja kwasiku? Elimika,usitake kuwarudisha watu nyuma kifikra,watu wameshaona ukombozi upo mbele yao,wewe unataka kuturudisha nyuma! Ushindwe naulegee kwajina la YESU
Nampongeza huyo jamaa yako kwakuwa mbunifu,kheri yeye aliyejifikirisha,naanatumia akili yake kutukomesha wanaume wakware, kuliko hawa CCM tuliowapa dhamans yakutuongoza matokeo yake wametuletea dhiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.