Recent content by jakakseru

  1. J

    Vipaji-link recruitment ni matapeli wakubwa, msije kudanganyika na ajira zao

    Haya makampuni serikali hayajayazuia,huo mkwara nichanfa lamacho tu, wanataka kusafisha njia kuelekea uchaguzi mkuu kwani haya makampuni mm nimeanza kutajua 2009,yakwanza ilikuwa erollink nakuhusu kupigwa stop halina ukweli wowote kwani mpaka sasa tunavyoongea spanco wanaajiri watu,nakama...
  2. J

    Mvuto wa Irene Uwoya

    Sio mbunye tu iliyozeeka, hata ngozi pia,sema nyie huwa mnamuona wakati wamuvi, huyo bint kukataa kwake nimwiko alafu 6by6 anadivisheni 5
  3. J

    Jamani hii ni serious naomba mnisaidie ushauri sitanii please naomba mtu asifanye mzaha

    Oa wapili,anaonekana ameshatendwa hivyo anajua machungu yakutendwa,isitoshe wazee wako wanamkubali hivyo utapata baraka zawazazi ktk ndoa yenu. Huyo wapili anayegimbeza housegirl atakuja kuwa mkali hata kwa nduguyo,
  4. J

    Sasa Watanzania tuseme CCM basi!

    Hatuna tume huru ya uchaguzi, kuanzia mwenyekiti nawajumbe wote niwateule wa Rais hivyo nimakada wachama cha mspinduzi, kikubwa tupiganie katiba mpya itupatie tume huru yauchaguzi. Ccm ipo madarakani tu kwamatakwa yake tu lakini sio kwamatakwa yawananchi
  5. J

    CCM: Sasa ni dhahiri wanajenga mnara wa babeli;Itakufa Oktoba 2015.

    Bila shaka haupo sawa,inamaana unafurahishwa namaisha wanayoishi wazee wako vijijini yakutokuwa hata nauhakika wamlo mmoja kwasiku? Elimika,usitake kuwarudisha watu nyuma kifikra,watu wameshaona ukombozi upo mbele yao,wewe unataka kuturudisha nyuma! Ushindwe naulegee kwajina la YESU
  6. J

    Lissu amshukia Lowassa

    Wewe ndio utakuwa unaugua
  7. J

    Chadema kusambaratika yote sombetini kama tendaji ya kata kumfua mwenyekiti wao

    Kumbe nawe unahuruma! Ahaa, sasa ilikuwaje ukala rambirambi za mjane wa Mwangosi?
  8. J

    Chadema kusambaratika yote sombetini kama tendaji ya kata kumfua mwenyekiti wao

    Siku zote, maneno machafu humtoka mwenye kichwa kibovu kama wewe
  9. J

    Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

    Labda rais wa Monduli maana sikuhizi hata manzese kuna rais (MADEE)
  10. J

    Biashara ya kuandaa mafumanizi na kujipatia pesa

    Nampongeza huyo jamaa yako kwakuwa mbunifu,kheri yeye aliyejifikirisha,naanatumia akili yake kutukomesha wanaume wakware, kuliko hawa CCM tuliowapa dhamans yakutuongoza matokeo yake wametuletea dhiki
  11. J

    Kujibizana na Mh. Rais Jukwaani ni ukomavu wa akisiasa?

    Nawewe bila kula rambirambi tungekujulia wapi?
  12. J

    Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

    Vp kwani nawewe sikuhizi umeacha kula rambi rambi?
  13. J

    Natafuta gari la kutembelea

    Mkuu, ebu weka picha alafu utoe na technical problems zake
Back
Top Bottom