kwakuongezea na wenye mtindio wa ubongo na watumwa wa ubongonamba one kwa magaidi na wauza sembe
Ni kweli mimi nilikuwa CCM sana tu....lakini siyo mzazi wangu ameboa nimemtema hata kama nimebaki na alama zake zitaisha taratibuMbona avatar yako ina rangi ya CCM, wewe kama SLAA vile , kelele nyingi kumbe ana Kadi ya CCM.
Mtahangaika sana lakini CCM ni Nambari One[/
QUOTE]
Kwa aina hii ya maisha anae ipenda ccm ni TAAHIRA.
Hivi ulitaka CCM wakupe maisha gani? Tofautisha kati ya serikali na mume ndugu yangu.
Ndug yangu unataka CCM wakuletee unga nyumbani kwako? Kama unategemea hivyo hakuna chama kitakachotekeleza azma yako na ukiendekeza mawazo hayo bora uhamie MOMBASA
kwani wanaoiunga mkono CCM si Watanzania?
Ndug yangu unataka CCM wakuletee unga nyumbani kwako? Kama unategemea hivyo hakuna chama kitakachotekeleza azma yako na ukiendekeza mawazo hayo bora uhamie MOMBASA
Madume mnafugana huko huko CHADEMA , nenda watakufuga.
Kamfuge LEMA wewe hakukugawia ile DVD ile mzuka upande?