Malaya wa kisiasa ni mtu wa kutangatanga toka chama hiki kwenda kingine, kama vile Lyatonga, Mpendazoe, Marando, Maghimbi, Shibuda, Tambwe Hiza, Shitamballah n.k. Sitta na Mwakyembe wametangatanga kutoka wapi na kwenda wapi kustahili nkuitwa malaya wa kisiasa? Lililo wazi hapa Mkuu, hii miamba...