Recent content by Jaji Mfawidhi

  1. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Mabasi kuondoka imekuwa kheri: Malori na ICD Wiki jiayo

    Na boda nazo ziondoke turudishiwe daldala kama BRT wameshindwa kazi. ni rahisi tu, kuzuia importation ya pikipiki na spea zake, zitaka chini, vijana wapelekwe kwenye kilimo.
  2. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Mabasi kuondoka imekuwa kheri: Malori na ICD Wiki jiayo

    Inasemekana Malori na ICD zot kuhamishiwa Kwala kama Magufuli alivyopanga na kujenga bandari kavu na kupeleka TReni kule. #Magu- mtanikumbuka.
  3. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Eh Yesu shuka sasa.
  4. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania "Nataka mwanaume sahihi" - "sahihi ni Pesa"

    INSHALAH
  5. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Boda , Bajaji na Maguta Walalama kudharauliwa Dar es salaam!

    Wamiliki na waheshimiwa maafisa usafirishaji wanaotumia Bodaboda, Guta na Bajaji walalamikia dharau dhidi yao kuonekana hawawezi kulipa tozo za maegesho . Wamesema kwa siku wanaingiza zaidi ya Elfu 50 na kiwango cha chini ni elfu 30 kwa siku , tajiri anapewa 15 na dereva anakula 30. Kwa Bajaji...
  6. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Mtani, Nyumba za Ubungo NHC ni kota za makazi, watu ni wapangaji na mmiliki wa Ardhi ni Rais kwa niaba ya Watanganyika, SAsa kama wapangaji wanabadili matumizi ya eneo bila Rukhsa ya mwenye eneo si afanye REVOCATION? Pili, Wakati TILISHO nanunua River side, anavunja lazma kibali cha kuvunja ...
  7. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    angeaomba hata summaru, amekopi kama ilivyo.
  8. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Mahakama zetu ni huru 100% Mawakili Wapigwa Stop Kuongea Kesi za Mahakamani!

    HAWAWEZI, WATATAWALIWA MILELE KAMA UNAVYOONA IRAN.
  9. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Unataka kupiga soga na nani?

    "Chawa" ni watu wenye story nyingi za town , unachuj na wewe, bila hawa watu huwezi jua Biafra imuwa kwa CCm. Huwezi jua Uwanja kujengwa Jangwani ,na timu ya Yanga ni sawa na kuona SAMAKI AKIKOJOA.
  10. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Mahakama zetu ni huru 100% Mawakili Wapigwa Stop Kuongea Kesi za Mahakamani!

    NASKIA WATU WANASALI , HIVI MUNGU ANAWEZA KUFANYA JAMBO?
  11. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania "Simba" kuoa mwanawe wa Zinaa!

    Elimu mbalimbali?
  12. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania "Simba" kuoa mwanawe wa Zinaa!

    Mtoto wa Zinaa ametajwa na Mtume na si jamb la kibinadamu. Yaani Mtoto wa Zuchu ndio pekee , anatambulika na alah, the rest ni watoto wa Zinah.
  13. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania "Simba" kuoa mwanawe wa Zinaa!

    1. Mtoto wa Zinaa. 2. Kafiri Zari sijui anajiskiaje kuwa na "mtoto kafiri na mtoto wa zinaa" ?
  14. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Nyerer e atuombee. Ni la kitaifa, nchi kuwa na mtakatifu ni jambom la kujivunia, watu watakuja kuhiji kwenye kaburi lake na tutakua utalii kama tu ambavyo kwa sasa mnavyokwenda Israel, Roma na Macca., walinza hivi hivi.
Back
Top Bottom