Recent content by Jaji Mfawidhi

  1. Jaji Mfawidhi

    Saed Kubenea: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow?

    Kwakweli, nafikiri wamekula ule mchele wa marekani.
  2. Jaji Mfawidhi

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Wengi wanawapenda JF Moderators, sasa wanaogopa sema wasipigwe ban.
  3. Jaji Mfawidhi

    Saed Kubenea: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow?

    Vijana mmekuja na hii code sisi vijana wa zamani mnatuchanganya.
  4. Jaji Mfawidhi

    Takwimu: Mtu mmoja anakunywa pombe lita 10.4

    Ummy unataka kufanya Baa zikose mapato na pia MUHIMBILI wakose watu wa dialysis?
  5. Jaji Mfawidhi

    Riziki Shahari: Tunaitaka Serikali Kurejesha Kikokotoo cha Mwaka 2017

    Kwa kifupi, kikotoo kibaki hiki hiki. Watumishi wa Umma mnapiga sana hela kwa jina la "facilitation". Pale Wizara ya Ardhi naambiwa na vijana wangu "kusajili mortgage moja lazma uache 50,000 ili itoke siku hiyo hiyo. Jiulize mtu wa Benki anakuja kusajili hata kumi. Watu wa mikopo midogo...
  6. Jaji Mfawidhi

    Saed Kubenea: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow?

    Tumbo huponza kichwa. Watu wanaandaa mpaka mashada na gari la kubebba miili yako wakifa.
  7. Jaji Mfawidhi

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Aunganishwe na yule Mangi kimambo wa Marekani, hawa ndio wanachafua viongozi wetu wa nvchi.
  8. Jaji Mfawidhi

    Paul Makonda kuzungumza na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

    Juzi tu hapa Alitoka CHATO kumwomba aliyelala hapo kaburini, akasema ampe hekhma?
  9. Jaji Mfawidhi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Mama amefanya mambo makubwa hakuna rais aliyefanya toka tupate uhuru lakini Magari hamjaweka mabango ya rais. Wekeni mambango ya kuonehsa kazi njema za mama.
  10. Jaji Mfawidhi

    RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa

    Mtoto wa "mama" anahojiwaje na watu nje ya familia? #WAnapoteza muda, hakuna kitu wanaweza mfanya!
  11. Jaji Mfawidhi

    Waziri Hamza: Serikali Ijenge Daraja Kuunganisha Dar-Zanzibar

    Ya CCM? Hivi unatuonaje?
  12. Jaji Mfawidhi

    Dada ukimpenda mwanaume, Unafanyaje akutongoze?

    Wanachellewa kuanza mapenzi, Watoto wao wanapenda shule, hilo tu!
Back
Top Bottom