DAR ES SALAAM jiji ni Ilala kisiasa lakini halina mamlaka . DAr es salaam ni mkoa mmoja wenye manispaa tofauti lakini sheria znatofautiana wakati mipaka inatofautiana na watu wa Dar ni ngumu kujua yupo wilaya ipi.
Mfano , mama anatoka Kawe? Wilaya kinondoni kapanda Daladala la Pugu nauli 1200...
Haikuhusu ndio sababu ya makasiriko; Optimistian wamejifunza kutu kuhusu ndoa. Upo wrong forum. Kuna groups za ponograph na dating wanaume wanajiuza ni sehemu sahihi kwako.
Suala mtambuka, jiandae kisaikolojia kupata mwanamke kwa wastani wa chini kishatembea na wanaume 5, hakika utakuwa na amani kwenye ndoa, ila ukisha muoa, hakikisha unamlinda tu wale waliomtoa bikra wasirudi maana hawezi kusahau aliyemtoa bikra mpaka anaingia kaburini na aliyemtoa akija...
kweli kabisa, assuming umetoka zako Matombo huko morogoro ukafika Dar Mburahati-uswahilini, uchawi, upashkuna na kufuatilia mambo ya watu na wewe ni mfanyakazi a Benki moja mjini, its obvios huwezi endelea , pamoja na mambo mengi hizi zitakukuta:-
Mazingira ya Msongamano na Ubora wa Makazi...
Mteaja anaamini Hiyo ni kampuni , kwamba ukimuuzia hata ukifa kesho, wamiliki wenza wapo, hivyo wewe ni mlipa kodi lakini wateja wana elimu ya biashara kwamba nihatari sana kufanya kazi na solo person ama non company kwakuwa akifa ama akifa atadai mwengine.
Hiyo sensa ya Wajane WEngio MASAKI NA MWENGE kulko kwenu hapo Mbagala kibonde maji na kwa mbiku sababu mbona zipo wazi.
MASAKI mtaa mmoja una nyumba kumi , kwenu Kibonde maji ni nyumba moja ya kupanga , yaani ukingia uani kuna wapangaji 15n na choo kimoja cha nje, hivyo mtaa ukiwa na wajane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.