Recent content by Jaji Mfawidhi

  1. Jaji Mfawidhi

    Kupitia post ya Phares Magesa itoshe kusema ni risk kubwa kumsomesha au kumwezesha mwanamke kiuchumi

    Ukute mwanamke anasali kwa aposto, anamposti aposto mna anamuita DADDY, umeliwa.
  2. Jaji Mfawidhi

    The worst prison in the world is home without peace. Be careful who you marry or fall in love with

    Ni kweli, ukitaka kumuumiza mtu awe mwanaume au mwanamke mpe kifungo cha siku 3 tu bila kuongea wala kujibu kitu, utajua maana ya gereza.
  3. Jaji Mfawidhi

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Tuombee saa familia na ndoa
  4. Jaji Mfawidhi

    Meya wa jiji amepwaya, Songoro Mnyonge apewe uongozi!

    DAR ES SALAAM jiji ni Ilala kisiasa lakini halina mamlaka . DAr es salaam ni mkoa mmoja wenye manispaa tofauti lakini sheria znatofautiana wakati mipaka inatofautiana na watu wa Dar ni ngumu kujua yupo wilaya ipi. Mfano , mama anatoka Kawe? Wilaya kinondoni kapanda Daladala la Pugu nauli 1200...
  5. Jaji Mfawidhi

    Jaji Hamidu Mwanga ni Nani, Aliwahi kuwa wapi kabla ya Mahakama Kuu?

    Aibu sana , Jaji Mwanga atalipa tu,
  6. Jaji Mfawidhi

    Jaji Hamidu Mwanga ni Nani, Aliwahi kuwa wapi kabla ya Mahakama Kuu?

    Ameahibika sana pale Court of Appeal Dodoma. Sijui kibri katoa wapi! Enzi zetu mahakamani hatukufanya mambo kama hayo
  7. Jaji Mfawidhi

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Haikuhusu ndio sababu ya makasiriko; Optimistian wamejifunza kutu kuhusu ndoa. Upo wrong forum. Kuna groups za ponograph na dating wanaume wanajiuza ni sehemu sahihi kwako.
  8. Jaji Mfawidhi

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Suala mtambuka, jiandae kisaikolojia kupata mwanamke kwa wastani wa chini kishatembea na wanaume 5, hakika utakuwa na amani kwenye ndoa, ila ukisha muoa, hakikisha unamlinda tu wale waliomtoa bikra wasirudi maana hawezi kusahau aliyemtoa bikra mpaka anaingia kaburini na aliyemtoa akija...
  9. Jaji Mfawidhi

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Rias wa Iran Hajauwawa, amesema chapeni kazi.
  10. Jaji Mfawidhi

    Mazingira unayoishi yanaweza kukupa au kukunyima fursa ya kuendelea

    kweli kabisa, assuming umetoka zako Matombo huko morogoro ukafika Dar Mburahati-uswahilini, uchawi, upashkuna na kufuatilia mambo ya watu na wewe ni mfanyakazi a Benki moja mjini, its obvios huwezi endelea , pamoja na mambo mengi hizi zitakukuta:- Mazingira ya Msongamano na Ubora wa Makazi...
  11. Jaji Mfawidhi

    Kwanini wateja wanatumia “mna” na “wingi” wanapoulizia bidhaa? Ni saikolojia au mazoea ya lugha?

    Mteaja anaamini Hiyo ni kampuni , kwamba ukimuuzia hata ukifa kesho, wamiliki wenza wapo, hivyo wewe ni mlipa kodi lakini wateja wana elimu ya biashara kwamba nihatari sana kufanya kazi na solo person ama non company kwakuwa akifa ama akifa atadai mwengine.
  12. Jaji Mfawidhi

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Hiyo sensa ya Wajane WEngio MASAKI NA MWENGE kulko kwenu hapo Mbagala kibonde maji na kwa mbiku sababu mbona zipo wazi. MASAKI mtaa mmoja una nyumba kumi , kwenu Kibonde maji ni nyumba moja ya kupanga , yaani ukingia uani kuna wapangaji 15n na choo kimoja cha nje, hivyo mtaa ukiwa na wajane...
Back
Top Bottom