Na boda nazo ziondoke turudishiwe daldala kama BRT wameshindwa kazi.
ni rahisi tu, kuzuia importation ya pikipiki na spea zake, zitaka chini, vijana wapelekwe kwenye kilimo.
Wamiliki na waheshimiwa maafisa usafirishaji wanaotumia Bodaboda, Guta na Bajaji walalamikia dharau dhidi yao kuonekana hawawezi kulipa tozo za maegesho .
Wamesema kwa siku wanaingiza zaidi ya Elfu 50 na kiwango cha chini ni elfu 30 kwa siku , tajiri anapewa 15 na dereva anakula 30.
Kwa Bajaji...
Mtani, Nyumba za Ubungo NHC ni kota za makazi, watu ni wapangaji na mmiliki wa Ardhi ni Rais kwa niaba ya Watanganyika, SAsa kama wapangaji wanabadili matumizi ya eneo bila Rukhsa ya mwenye eneo si afanye REVOCATION?
Pili, Wakati TILISHO nanunua River side, anavunja lazma kibali cha kuvunja ...
"Chawa" ni watu wenye story nyingi za town , unachuj na wewe, bila hawa watu huwezi jua Biafra imuwa kwa CCm.
Huwezi jua Uwanja kujengwa Jangwani ,na timu ya Yanga ni sawa na kuona SAMAKI AKIKOJOA.
Nyerer
e atuombee.
Ni la kitaifa, nchi kuwa na mtakatifu ni jambom la kujivunia, watu watakuja kuhiji kwenye kaburi lake na tutakua utalii kama tu ambavyo kwa sasa mnavyokwenda Israel, Roma na Macca., walinza hivi hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.