Ticket zipo online, Nitoke Chanika buyuni mpaka shekilango kukata tiketi, then nirudi chanika kujiandaa kuja shkilango tena kwaajili ya safari?
Mizigo nayo Shirika la Posta litapenyeza hoja isisafirishwe na mabasi, maana wameomba leseni za abiria tu na si leseni ya abiria na mizigo.
Mimi mume wangu was the first man na sijawahi kuwaza kumpa mtu mwengine tunda kwa umri huu nilio nao.
Kwa wengine ambo hamkuwa "bikra" mlijisikiaje jamaa walipoinhgia ikapenya yote bila kizuizi?'
Baada ya 17/8/2026, tamko la Mkuu wa Mkoa lilielekeza magari kurudi Mbezi Luis Stand. Kampuni zote zimetii, isipokuwa “kampuni pendwa 3” ambazo hazijatajwa majina, zimeruhusiwa kuendelea kuanzia mjini.
Hakuna mwandishi aliyenyanyua mdomo kuhoji sababu na vigezo vya hizo kampuni. Ila katika moja...
Na boda-boda nazo ziondoke turudishiwe daladala kama BRT wameshindwa kazi.
Ni rahisi tu, kuzuia importation ya pikipiki na spea zake, zitaka chini, vijana wapelekwe kwenye kilimo.
Inasemekana Malori na ICD zote kuhamishiwa Bandari kavu ya Kwala kama Magufuli alivyopanga na kujenga bandari kavu na kupeleka Treni kule.
#Magu- mtanikumbuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.