Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,874
- 25,806
- Thread starter
- #21
Elimu mbalimbali?Elimu yenyewe ndugu yangu ndo hii ya kina Simba ?
Elimu mbalimbali?Elimu yenyewe ndugu yangu ndo hii ya kina Simba ?
Mambo ya dini ni itikadi waliojiwekea binadamu kwa manufaa yao, ingekuwa miili ya wengine ina damu na ya wengine ina juisi hapo kungekuwa na maana.Mtoto wa Zinaa ametajwa na Mtume na si jamb la kibinadamu.
Yaani Mtoto wa Zuchu ndio pekee , anatambulika na alah, the rest ni watoto wa Zinah.